Mshairi nguli Amiri Andanenga afariki dunia, azikwa

Dar es Salaam. Mwanasheria na mwandishi wa vitabu vya riwaya za fasihi za Kiswahili na Kiingereza, Charles Mroka amemuelezea hayati Amir Andanenga kama mtu aliyekuwa na kipaji cha kutunga mashairi. Andanenga aliyekuwa mwanafasihi nguli na mwasisi wa Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi Tanzania (Ukuta) amefariki usiku wa kuamkia leo Mei Mosi, 2024, katika…

Read More

Warioba ataja sababu ya wapigakura wachache

Dodoma. Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba ametaja mambo ambayo yakifanyiwa kazi mapema yatawezesha wananchi wengi kushiriki uchaguzi na kuwapata viongozi wanaowataka kuwawakilisha kwenye vyombo vya maamuzi. Jaji Warioba ametoa kauli hiyo leo Jumanne Aprili 30, 2024 kwenye kongamano la wadau wa habari na uchaguzi Tanzania lililoandaliwa na baraza la habari nchini (MCT) Jijini Dodoma….

Read More