Dproz yaja na jukwaa kuwasogezea vijana fursa za ajira

Dar es Salaam. Taasisi isiyo ya kiserikali ya Dproz imekuja na suluhisho la ajira kwa vijana kwa kuweka mfumo maalumu utakaowawezesha kupata taarifa kwenye soko la ajira nchini. Akizungumza mkurugenzi wa jukwaa la kidigitali la Dproz linalounganisha vipaji na nafasi za kazi nchini, Iddy Magohe amesema kufuatia changamoto hiyo ya ajira, wao wamekuja na suluhu….

Read More