Magazeti
EMEDO YAZINDUA TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA MAJINI, WATAALAMU WATAKA TAKWIMU ZA KITAIFA.
Na Karama Kenyunko – Michuzi TV KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo kwa Kuzama Duniani inayofanyika kila Julai 25, Shirika la Environmental Management and Economic Development Organisation (EMEDO) limezindua tuzo maalum kwa ajili ya kutambua mchango wa waandishi wa habari katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu usalama wa majini. Uzinduzi huo umeenda sambamba…
Kigogo aliyenaswa na kamera akidaiwa kuwa na mchepuko ajiuzulu
New York Marekani. Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya teknolojia ya Astronomer Inc. ya nchini Marekani ameamua kujiuzulu baada ya kunaswa kwenye kamera akibusiana kwenye tamasha la muziki wa rock na mwanamke ambaye hakuwa mkewe. Kufuatia video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii tangu Jumatano, kigogo huyo anayeitwa Andy Byron ameamua kuachia ngazi ambapo bodi ya…