RAIS SAMIA MGENI RASMI TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI DODOMA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wanahabari, maarufu kama Samia Kalamu Awards. Tuzo hizi zinalenga kuhamasisha uandishi wa habari za maendeleo kwa kufanya uchambuzi na utafiti wa kina, kuongeza maudhui ya ndani, kuzingatia weledi, maadili, uwajibikaji wa kitaaluma,…

Read More

Kabla hujabadili tahasusi, zingatia haya

Serikali kupitia Ofisi ya Rais-Tamisemi imetangaza fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi wanazosomea sasa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma mapema mwezi huu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mohamed Mchengerwa alisema hatua hiyo inatoa fursa kwa wanafunzi kubadilisha machaguo ya tahasusi ili kutimiza…

Read More

Kosa kubwa mzazi kulinganisha mtoto wako na wengine

Ukiniuliza mimi nitakwambia natamani mtoto wangu awe mwanasayansi wa kwanza wa Kitanzania kugundua sayari nyingine ambayo binadamu tunaweza kuhamia na kuishi kama. Au aanzishe kampuni ambayo itatengeneza roketi na kuratibu usafirishaji wa binadamu kutoka hapa kwenda huko. Na kupitia yote hayo, ashinde ‘Nobel prize’ na tuzo nyingine kubwa kubwa za sayansi, uvumbuzi na biashara. Kupitia…

Read More