MUHARIRI TORCH MEDIA ANG’ARA TUZO ZA AFYA TMDA

:::::::: Mahariri Mkuu wa Mtandao wa Kijamii wa Torch Media, Caren-Tausi Mbowe ameibuka mshindi wa kwanza katika Tuzo za Uandishi wa Habari za Afya juu ya Udhibiti wa Bidhaa za Tiba zinazotolewa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA). Caren-Tausi ambaye kwa sasa ni Mhariri wa Mtandaoni katika Kampuni ya Sahara Media inayoendesha Televisioni…

Read More

Utata Sh87 bilioni za mwekezaji Simba

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi na Rais wa Heshima wa Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ usiku wa Julai 14, 2025, alitumia muda huo kuzungumza na Wanasimba na wapenda soka kwa jumla huku akitaja mambo mbalimbali yanayoendelea ndani ya klabu hiyo ikiwemo suala la uwekezaji wake. Mo ambaye hii ni mara ya pili anafanya hivyo katika akaunti…

Read More

Rostam Aziz asimulia mageuzi ya tasnia ya habari Tanzania yalivyoanza

Arusha. Mfanyabiashara na mwekezaji, Rostam Aziz amesimulia safari ya tasnia ya habari nchini Tanzania jinsi alivyoshirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa Serikali kuifanya kukua na kuimarika zaidi. Rostam ametoa simulizi hiyo leo Jumanne, Julai 15, 2025 katikaMkutano wa Mabaraza Huru ya Habari Afrika unaofanyika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) na kufunguliwa…

Read More

Kumradhi Nehemiah Mchechu | Mwananchi

Kampuni ya Mwananchi Communications Limited, wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen, na Mwanaspoti, inaomba radhi kwa Nehemiah Kyando Mchechu kutokana na makala iliyochapishwa katika toleo Na. 4551 la gazeti la The Citizen Ijumaa la Machi 23, 2018. Tunakiri kuwa habari hiyo ilikuwa na tuhuma ambazo zimebainika kuwa za kudhalilisha dhidi ya Mchechu na ilikuwa…

Read More