RAIS MWINYI AONGOZA MAZISHI YA ALI AMEIR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaongoza Viongozi na Wananchi mbalimbali katika Mazishi ya aliyekuwa Mwanasiasa Mkongwe Marehemu Ali Ameir Muhammed, aliyefariki usiku wa kuamkia leo tarehe 26 Novemba 2025. Marehemu Ali Ameir amefariki wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam. Mapema, Rais…

Read More

Mwanasiasa mkongwe Ali Ameir Mohamed afariki dunia

Dar es Salaam. Kifo cha Ali Ameir Mohamed kimeacha kumbukumbu kuwa alipokuwa Naibu Katibu Mkuu wa kwanza wa CCM Zanzibar, alikabiliana na changamoto za kisiasa zilizojitokeza baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa mwaka 1995. Pia, kifo chake kimeacha kumbukumbu kuwa akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, alikabiliana na msukosuko wa…

Read More