Buriani, Sheikh Abuu Iddi, mwanazuoni wa aina yake

Alhamisi  Januari 30,  2025 itakumbukwa kuwa siku iliyoacha huzuni kwa wanazuoni, masheikh, wanafunzi wa taaluma za dini ya Kiislamu na Waislamu wa Tanzania kwa kuondokewa na Sheikh Mohamed Iddi Mohamed Husein Kisodya Mahede, maarufu kwa jina la Sheikh Abuu Iddi. Huyu alikuwa mwanazuoni maarufu wa Kiislam na Mratibu wa Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa…

Read More

Maswali 10 uraia nyota Singida BS

HATUA ya wachezaji watatu wa Singida Black Stars kutangazwa kupewa uraia wa Tanzania na kuthibitishwa na Idara ya Uhamiaji, imeibua mijadala kuanzia mtaani hadi katika mitandao ya kijamii, huku kukiwa na maswali 10 magumu kutokana na taratibu zilizotumika kuwapa uraia huo. Kabla ya Idara ya Uhamiaji kutoa taarifa hiyo juzi Alhamisi kupitia msemaji wake, SSI…

Read More

Pinda akerwa na minong’ono mitandaoni

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda ameeleza kukerwa na tetesi za mitandao ya jamii ilivyovumisha jina lake kuwa miongoni mwa wanaotajwa kuwa makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Nafasi hiyo imeachwa wazi na Abdulrahman Kinana aliyeomba kustaafu Septemba 2024. Tayari chama hicho kimeshamtaja kada mkongwe Stephen Wasira kuwania nafasi hiyo. Akizungumza…

Read More

TIMU 120 KUSHIRIKI KOMBE LA VUNJABEI

NA DENIS MLOWE IRINGA JUMLA ya timu 120 zinatarajiwa kushiriki mashindano ya soka yanayojulikana kwa jina la Vunjabei Cup 2025 yatakayozinduliwa rasmi Januari 11 mwaka huu katika viwanja tofauti. Akizungumza na wanahabari, Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Vunjabei Fadhil Ngajilo alisema kuwa awali yalifahamika kama Ngajilo Cup, sasa yameboreshwa kwa kiwango kikubwa, ambapo zawadi…

Read More