Kauli za Malema zamponza Ramaphosa, Trump aibua ushahidi mauaji

Washington. Ziara ya Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa nchini Marekani imegeuka shubiri baada ya mwenyeji wake Rais, Donald Trump kuibua vielelezo na ushahidi wa matukio ya mauaji ya wakulima weupe (Afrikaners) waishio Afrika Kusini. Hata hivyo, Rais Ramaphosa pamoja kuonyesha kushtushwa na vielelezo hivyo vya video na picha zilizochapishwa kwenye magazeti, amemuomba Trump kumsaidia…

Read More

Huu ndio msimamo wa Rungwe kwa makada Chadema

Dar es Salaam. Wakati jinamizi likiendelea kukitikisa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mamia ya wanachama wake wametangaza kukihama chama hicho huku wakitajwa kuhamia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Licha ya kwamba wanachama hao hawajaweka bayana chama wanachokwenda kujiunga, duru za ndani zinaeleza kwamba waliokuwa viongozi na wanachama wengine wanakusudia kujiunga na Chaumma kuendeleza…

Read More