Magazeti
Wakuu wa Taasisi za Habari Washuhudia Uwasilishaji Bajeti ya Habari
………,…. Dodoma. Wakuu wa Taasisi za Kihabari nchini kwenye picha ya Pamoja na Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Paramagamba Kabudi, Naibu Waziri Hamis Mwinjuma na Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Greson Msigwa baada ya uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara ya habari, utamaduni, Sanaa na Michezo Bungeni Leo Jijini Dodoma. Wakuu…
MATHIAS CANAL ASHINDA TUZO YA SAMIA KALAMU AWARDS, WAZIRI ULEGA AMPA SHAVU MBELE YA RAIS SAMIA
Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa WazoHuru Media Group Limited Ndg Mathias Canal ameshinda Tuzo mbili za SAMIA KALAMU AWARDS sekta ya Ujenzi na chombo bora cha mtandaoni. Pamoja na zawadi ya Cheti, Ngao, Tsh Milioni 10, lakini pia Mathias Canal amezawadiwa safari ya kwenda nchini Japani pamoja na kufanya kazi ya kusafiri nchi nzima…
Rais Samia kukabidhi tuzo ‘Samia Kalamu Awards’
Dar es Salaam. Tuzo 31 zinatarajiwa kukabidhiwa kwa waandishi wa habari katika fainali ya Tuzo za ‘Samia Kalamu Awards’, zitakazotolewa Mei 5, 2025 jijini Dar es Salaam. Katika tuzo hizo zitakazozotelewa na Rais Samia Suluhu Hassan, kutakuwa na tuzo za chombo cha habari, mwandishi mwenye mafanikio, mwandishi mahiri ofisa habari bora na habari kuhusu nishati…
Huyu ndiye Rosalynn Mkurugenzi mpya wa Mwananchi
Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), ambayo ni kampuni tanzu ya Nation Media Group (NMG), imetangaza uteuzi wa Rosalynn Mndolwa-Mworia kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa MCL. Rosalynn mwenye uzoefu wa miaka 23 wa kuziongoza sekta za mawasiliano ya simu, usafirishaji, huduma za kifedha na bima, anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bakari Machumu…