MCL inavyoimarisha afya, usalama kwa wafanyakazi

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Afya na Usalama leo Jumatatu, Aprili 28, 2025, Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imeeleza namna inavyotekeleza kwa vitendo usalama na afya kwa wafanyakazi wake mahala pa kazi. MCL inayojishughulisha na uzalishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen na MwanaSpoti, uandaaji wa Jukwaa la Fikra na usafirishaji…

Read More