Magazeti
TTCL yashindwa kuunganisha faiba mlangoni
Moshi. Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amebaini Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limeshindwa kufikia malengo ya huduma za maunganisho ya faiba mlangoni kwa wateja, baada kuunganisha kwa asilimia saba huku kampuni ya magazeti ya Serikali ikishindwa kuanzisha studio. Katika taarifa ya Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Mashirika ya…
RAIS SAMIA KUTOA TUZO ZA WANAHABARI
.,……………. RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa tuzo za wanahabari zinazofahamika kama ‘Samia Kalamu Awards’ zinazohamasisha uandishi wa habari za maendeleo katika nyanja mbalimbali. Tuzo hizo ambazo zimeandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinatarajiwa kutolewa…
RAIS SAMIA MGENI RASMI TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wanahabari, maarufu kama Samia Kalamu Awards. Tuzo hizi zinalenga kuhamasisha uandishi wa habari za maendeleo kwa kufanya uchambuzi na utafiti wa kina, kuongeza maudhui ya ndani, kuzingatia weledi, maadili, uwajibikaji wa kitaaluma,…
Kabla hujabadili tahasusi, zingatia haya
Serikali kupitia Ofisi ya Rais-Tamisemi imetangaza fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi wanazosomea sasa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma mapema mwezi huu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mohamed Mchengerwa alisema hatua hiyo inatoa fursa kwa wanafunzi kubadilisha machaguo ya tahasusi ili kutimiza…
Kosa kubwa mzazi kulinganisha mtoto wako na wengine
Ukiniuliza mimi nitakwambia natamani mtoto wangu awe mwanasayansi wa kwanza wa Kitanzania kugundua sayari nyingine ambayo binadamu tunaweza kuhamia na kuishi kama. Au aanzishe kampuni ambayo itatengeneza roketi na kuratibu usafirishaji wa binadamu kutoka hapa kwenda huko. Na kupitia yote hayo, ashinde ‘Nobel prize’ na tuzo nyingine kubwa kubwa za sayansi, uvumbuzi na biashara. Kupitia…