Bado Watatu – 45 | Mwanaspoti

“NDIYO, yule alikuwa anaitwa Thomas Christopher, ni mtoto wa aliyekuwa tajiri yake Unyeke.” Nikaona pale palikuwa na habari nzito. Nikamuuliza yule mzee:“Inaelekea wewe unajua mambo mengi kuhusu huyu Thomas na kuhusu Unyeke…” “Nilikuwa dereva wa Unyeke. Na huyu Thomas alikuwa mtoto aliyekuwa akimlea pale nyumbani. Hakuwa amemzaa mwenyewe.” “Unyeke unayemzungumzia wewe ni Unyeke yupi? Mimi…

Read More