Machumu, Tido waula, Nyalandu arudi kivingine

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amewateua waliowahi kuwa Wakurugenzi watendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) Bakari Machumu na Tido Mhando kwenye ofisi yake ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu. Uteuzi huo uliofanyika leo Jumatano, Novemba 19, 2025, umemtaja Bakari Machumu ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, akichukua nafasi ya Sharifa Nyanga ambaye…

Read More