Samia amteua Profesa Mwakyusa kuwa mkuu wa Muhas

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wa umma akiwemo Profesa David Mwakyusa aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas). Hayo yameelezwa leo Jumatano Novemba 27, 2024 katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka na kusainiwa na…

Read More