Kabudi: Nitafanyia kazi sera ya umiliki vyombo vya habari

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi ameahidi kushughulikia changamoto za vyombo vya habari na waandishi wa habari, ikiwamo Sera ya Habari na Utangazaji inayotaka mwekezaji wa nje ya nchi kumiliki asilimia 49 na mzawa asilimia 51. Changamoto nyingine ni kuyumba kwa uchumi wa vyombo vya habari, waandishi wa…

Read More