TAMWA na TCRA waandaa tuzo ‘Samia Kalamu Awards’

-Katika kuchochea uandishi wa habari za maendeleo Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wameandaa Tuzo ya Samia Kalamu ‘Samia Kalamu Awads ‘ kwa Waandishi wa habari kuandika habari za maendeleo katika nyanja mbalimbali. Kauli mbiu ya Tuzo hizo ni Uzalendo ndio…

Read More

Afrika katika Magazeti ya Ujerumani – DW – 11.10.2024

die tageszeitung Juma hili die tageszeitung liliangazia ajali ya boti iliyotokea juma lililopita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Limeandika kuwa wiki moja baada ya ajali hiyo mamlaka na ndugu waliofariki dunia katika ajali hiyo wako katika mtafaruku. Katika ajali hiyo, boti ya “MV Merdi” ilizama siku ya Alhamisi wakati ilipokuwa ikiingia katika bandari…

Read More