Simulizi ya ‘Boni Yai’ alivyopata taarifa ya ushindi gerezani

Dar es Salaam. Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, ameelezea safari yake ya kipekee kuelekea ushindi wa nafasi hiyo huku akiwa gerezani, baada ya kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya mtandaoni. Kupitia mahojiano maalumu na Mwananchi, Jacob, maarufu kama Boni Yai, amesimulia changamoto na maamuzi magumu aliyofanya ili kuiruhusu Chadema Kanda ya Pwani kuendelea…

Read More

Afrika katika magazeti ya Ujerumani – DW – 31.10.2024

 Zeit Online Zeit Online limeangazia tahadhari iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, kuhusu madhara ya ongezeko la machafuko nchini Sudan. Limemnukuu Guterres akilihutubia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa akisema kuwa, wahusika wa vita vya Sudan wanachochea vurugu na mataifa ya kigeni yanauzidisha mzozo. Raia nchini humo wanaishi katikati ya…

Read More