Ahadi tata za wagombea zawaibua wasomi

Dar es Salaam. Wakati kampeni za vyama vya siasa zikizidi kupamba moto nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wasomi wamebaini pengo kati ya ahadi zinazotolewa na baadhi ya wagombea na uwezekano wa kutekelezeka. Pengo hilo limewafanya wanataaluma hao kuona haja ya kufanya mdahalo  Septemba 28, 2025 jijini Dar es Salaam utakaovikutanisha vyama vya siasa,…

Read More

Dproz yaja na jukwaa kuwasogezea vijana fursa za ajira

Dar es Salaam. Taasisi isiyo ya kiserikali ya Dproz imekuja na suluhisho la ajira kwa vijana kwa kuweka mfumo maalumu utakaowawezesha kupata taarifa kwenye soko la ajira nchini. Akizungumza mkurugenzi wa jukwaa la kidigitali la Dproz linalounganisha vipaji na nafasi za kazi nchini, Iddy Magohe amesema kufuatia changamoto hiyo ya ajira, wao wamekuja na suluhu….

Read More