Kimya chetu si kusaliti wajibu wetu

Tanzania ipo katika kipindi kisicho na mfano katika historia yake ya kisiasa. Tunapotazama nyuma uchaguzi wa mwaka 2025, matukio yaliyotokea na maisha yaliyobadilika, tunajikuta tukitafakari ukurasa mgumu uliogeuka sehemu muhimu ya simulizi la taifa letu. Katika kila kipindi cha uchaguzi, vyombo vya habari vimekuwa mstari wa mbele vikielimisha wananchi, vikihakikisha kuna uwiano wa madaraka, vikidumisha…

Read More

Kimya chetu si kusaliti wajibu wetu: Ujumbe kwa wasomaji wetu

Tanzania ipo katika kipindi kisicho na mfano katika historia yake ya kisiasa. Tunapotazama nyuma uchaguzi wa mwaka 2025, matukio yaliyotokea na maisha yaliyobadilika, tunajikuta tukitafakari ukurasa mgumu uliogeuka sehemu muhimu ya simulizi la taifa letu. Katika kila kipindi cha uchaguzi, vyombo vya habari vimekuwa mstari wa mbelevikielimisha wananchi, vikihakikisha kuna uwiano wa madaraka, vikidumisha uwajibikaji…

Read More

KUJENGA IMANI ZAIDI YA KURA: Jinsi uandishi wa habari kwa kufuata maadili unavyounda mustakabali wa Tanzania tuitakayo

Tanzania ipo katika hatua muhimu sana ya kihistoria, inayokwenda kuunda mustakabali wa Taifa letu. Namna tunavyopitia kipindi hiki, ndivyo tutakavyojenga uimara wa msingi wa maendeleo yetu ya kitaifa katika awamu inayofuata. Chaguzi zinaweza kutugawa, hasa tunapokuwa katika mkondo wa ukuaji unaotia matumaini. Hata hivyo, ni wajibu wa kikatiba unaofanyika kila baada ya miaka mitano na…

Read More