
Magazeti




Wadau wafunguka utayari wa Tanzania kuandaa Chan 2024
ZIKIWA zimesalia siku tatu kabla ya kuanza kwa michuano ya Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN 2024), mjadala umeibuka kuhusu maandalizi ya Tanzania kama mwenyeji wa mashindano hayo kwa kushirikiana na Kenya na Uganda. Mjadala uliofanyika leo Julai 30, 2025 kwenye Mwananchi X Space wenye mada isemayo; ‘Maandalizi ya michuano ya CHAN 2024…

Mpoki ateuliwa mhariri Mtendaji Mkuu MCL
KAMPUNI ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mpoki Thomson kuwa mhariri mtendaji mkuu mpya ili kuimarisha mabadiliko ya kihabari kuelekea mfumo wa kidijitali unaoongozwa na ubunifu na ushirikishaji jamii. Taarifa iliyotolewa jana Jumanne na Mkurugenzi Mtendaji wa MCL, Rosalynn Mndolwa-Mworia ilieleza kuwa uteuzi wa Mpoki ni sehemu ya safari ya kampuni hiyo kuongoza mageuzi katika…


Mpoki Thomson ateuliwa kuwa Mhariri Mtendaji Mkuu wa MCL
Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imemtangaza Mpoki Thomson kuwa Mhariri Mtendaji Mkuu, ikiwa ni hatua muhimu katika safari ya kampuni hiyo kuelekea mageuzi ya kidijitali yanayolenga kuwa chombo cha habari cha kisasa zaidi. MCL ni wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen na MwanaSpoti, pamoja na majukwaa mengine ya mtandaoni kama…

Mbinu kuepuka athari hasi za AI kuelekea uchaguzi Mkuu
Dar es Salaam. Wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) wameeleza namna Tanzania inavyoweza kukabiliana na athari hasi za teknolojia ya Akili Unde wakati Taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu. Wataalamu hao waliokuwa wakizungumza katika Jukwaa la kwanza la kitaifa la Akili Unde lililofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam, wametaja…

