Magazeti
MKUTANO WA CoP30 FURSA YA KUKABILIANA NA UCHAFUZI WA BAHARI DAR ES SALAAM
Mkutano wa 30 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP30) unaotarajiwa kuanza Novemba 10-21,2025 kwenye jiji la Belém do Pará, nchini Brazil,umebeba fursa mpya ya Tanzania kusukuma agenda za mapambano dhidi ya uchafuzi wa bahari unaosababishwa na taka za plastiki hasa katika fukwe zilizopo kwenye mwambao wa Kigamboni,…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Novemba 8, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Kimya chetu si kusaliti wajibu wetu
Tanzania ipo katika kipindi kisicho na mfano katika historia yake ya kisiasa. Tunapotazama nyuma uchaguzi wa mwaka 2025, matukio yaliyotokea na maisha yaliyobadilika, tunajikuta tukitafakari ukurasa mgumu uliogeuka sehemu muhimu ya simulizi la taifa letu. Katika kila kipindi cha uchaguzi, vyombo vya habari vimekuwa mstari wa mbele vikielimisha wananchi, vikihakikisha kuna uwiano wa madaraka, vikidumisha…
Kimya chetu si kusaliti wajibu wetu: Ujumbe kwa wasomaji wetu
Tanzania ipo katika kipindi kisicho na mfano katika historia yake ya kisiasa. Tunapotazama nyuma uchaguzi wa mwaka 2025, matukio yaliyotokea na maisha yaliyobadilika, tunajikuta tukitafakari ukurasa mgumu uliogeuka sehemu muhimu ya simulizi la taifa letu. Katika kila kipindi cha uchaguzi, vyombo vya habari vimekuwa mstari wa mbelevikielimisha wananchi, vikihakikisha kuna uwiano wa madaraka, vikidumisha uwajibikaji…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 28, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 27, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
KUJENGA IMANI ZAIDI YA KURA: Jinsi uandishi wa habari kwa kufuata maadili unavyounda mustakabali wa Tanzania tuitakayo
Tanzania ipo katika hatua muhimu sana ya kihistoria, inayokwenda kuunda mustakabali wa Taifa letu. Namna tunavyopitia kipindi hiki, ndivyo tutakavyojenga uimara wa msingi wa maendeleo yetu ya kitaifa katika awamu inayofuata. Chaguzi zinaweza kutugawa, hasa tunapokuwa katika mkondo wa ukuaji unaotia matumaini. Hata hivyo, ni wajibu wa kikatiba unaofanyika kila baada ya miaka mitano na…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 26, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa