Serikali yaweka mikakati kuendeleza wabunifu

Dar es Salaam. Serikali na wadau wa teknolojia wamedhamiria kuziinua kampuni changa bunifu (startups), ili kufikia malengo ya kuwawezesha vijana kujiajiri na kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Hayo yamesemwa jijini Dar es     Salaam kwenye hafla ya utoaji zawadi kwa washindi watatu wa mashindano ya ubunifu kwenye teknolojia (U.S Tanzania Tech Challenge 2024) iliyoandaliwa na ubalozi…

Read More

Silaa: Tunataka vijana wajiajiri kupitia ubunifu wa kiteknolojia

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Jerry Silla amesema ubunifu wa kidigitali ndio njia pekee itakaowezesha vijana kujiajiri na kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Ameyasema hayo leo Septemba 19, 2024 katika kongamano la mashindano ya ubunifu wa teknolojia (US-Tanzania Tech Challenge 2024) yaliyoandaliwa na Ubalozi wa Marekani lililofanyika jijini Dar es…

Read More

Waandishi 17 wa Mwananchi kuwania tuzo za Ejat

Dar es Salaam. Waandishi 17 wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) ni miongoni mwa wateule 72 watakaowania tuzo za umahiri za uandishi wa Habari (Ejat) zinazotolewa na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Kati ya waandishi 72 watakaoshiriki kinyang’anyiro hicho Septemba 28, 2024 wanaume ni 45, sawa na asilimia 62.5 na wanawake ni 27 sawa…

Read More