
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 9,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 9,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 9,2024 About the author
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania September 8, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 8, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 8,2024 About the author
Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa siasa na Serikali wamezungumza namna walivyomfahamu aliyekuwa Mkurugenzi wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu katika hafla ya kumuaga. Viongozi wa kisiasa waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika jana (Septemba 6, 2024) ni pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Emmanuel Nchimbi, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na aliyekuwa Kiongozi Mkuu…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania September 7, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 7, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam September 7, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 7, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 7,2024 About the author
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amevunja ukimya na kutangaza kusudio la kumfikisha mahakamani kutokana na kauli za mfululizo zinazotolewa dhidi yake na mbunge wa zamani wa Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa. Mbowe ametangaza kusudio hilo kupitia barua ya notisi ya madai aliyomwandikia Mchungaji Msigwa kupitia…
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemtaka Mchungaji Peter Msigwa, ambaye kwa sasa amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kulipa fidia ya shilingi bilioni tano (5,000,000,000/=) kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kutoa taarifa za uongo dhidi yake. Kulingana na taarifa ya mawakili wa Mbowe kutoka Matwiga Law Chambers, Msigwa anatuhumiwa kwa kueneza…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania September 6, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 6, 2024 first appeared on Millard Ayo.