Viongozi wamuelezea Machumu, afunguka kuhusu hofu yake

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa siasa na Serikali wamezungumza namna walivyomfahamu aliyekuwa Mkurugenzi wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu katika hafla ya kumuaga. Viongozi wa kisiasa waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika jana (Septemba 6, 2024) ni pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Emmanuel Nchimbi, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na aliyekuwa Kiongozi Mkuu…

Read More

Mbowe kumburuza Mchungaji Msigwa kortini, mwenyewe ajibu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amevunja ukimya na kutangaza kusudio la kumfikisha mahakamani kutokana na kauli za mfululizo zinazotolewa dhidi yake na mbunge wa zamani wa Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa. Mbowe ametangaza kusudio hilo kupitia barua ya notisi ya madai aliyomwandikia Mchungaji Msigwa kupitia…

Read More