
Magazeti


EMEDO YAZINDUA TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA MAJINI, WATAALAMU WATAKA TAKWIMU ZA KITAIFA.
Na Karama Kenyunko – Michuzi TV KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo kwa Kuzama Duniani inayofanyika kila Julai 25, Shirika la Environmental Management and Economic Development Organisation (EMEDO) limezindua tuzo maalum kwa ajili ya kutambua mchango wa waandishi wa habari katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu usalama wa majini. Uzinduzi huo umeenda sambamba…






Kigogo aliyenaswa na kamera akidaiwa kuwa na mchepuko ajiuzulu
New York Marekani. Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya teknolojia ya Astronomer Inc. ya nchini Marekani ameamua kujiuzulu baada ya kunaswa kwenye kamera akibusiana kwenye tamasha la muziki wa rock na mwanamke ambaye hakuwa mkewe. Kufuatia video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii tangu Jumatano, kigogo huyo anayeitwa Andy Byron ameamua kuachia ngazi ambapo bodi ya…


MUHARIRI TORCH MEDIA ANG’ARA TUZO ZA AFYA TMDA
:::::::: Mahariri Mkuu wa Mtandao wa Kijamii wa Torch Media, Caren-Tausi Mbowe ameibuka mshindi wa kwanza katika Tuzo za Uandishi wa Habari za Afya juu ya Udhibiti wa Bidhaa za Tiba zinazotolewa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA). Caren-Tausi ambaye kwa sasa ni Mhariri wa Mtandaoni katika Kampuni ya Sahara Media inayoendesha Televisioni…