KUJENGA IMANI ZAIDI YA KURA: Jinsi uandishi wa habari kwa kufuata maadili unavyounda mustakabali wa Tanzania tuitakayo

Tanzania ipo katika hatua muhimu sana ya kihistoria, inayokwenda kuunda mustakabali wa Taifa letu. Namna tunavyopitia kipindi hiki, ndivyo tutakavyojenga uimara wa msingi wa maendeleo yetu ya kitaifa katika awamu inayofuata. Chaguzi zinaweza kutugawa, hasa tunapokuwa katika mkondo wa ukuaji unaotia matumaini. Hata hivyo, ni wajibu wa kikatiba unaofanyika kila baada ya miaka mitano na…

Read More

Mtoto wa Mjini – 9

HAMISI alimwambia rafiki yake kwamba, watu walianza kuitilia shaka gari ile baada ya kuiona imeegeshwa pale muda mrefu na kuripoti polisi ambao walifika na kuikagua. Kisha zikapatikana taarifa ya gari lile kutumika katika wizi. “Unajua ulikosea sana kuliacha lile gari pale… hukupaswa kulitelekeza lile kule, ungeenda kuliacha kwa mwenyewe… maana ilimbidi akamatwe na polisi…”Ni hapo Muddy…

Read More