EMEDO YAZINDUA TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA MAJINI, WATAALAMU WATAKA TAKWIMU ZA KITAIFA.

 Na Karama Kenyunko – Michuzi TV KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo kwa Kuzama Duniani inayofanyika kila Julai 25, Shirika la Environmental Management and Economic Development Organisation (EMEDO) limezindua tuzo maalum kwa ajili ya kutambua mchango wa waandishi wa habari katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu usalama wa majini. Uzinduzi huo umeenda sambamba…

Read More

MUHARIRI TORCH MEDIA ANG’ARA TUZO ZA AFYA TMDA

:::::::: Mahariri Mkuu wa Mtandao wa Kijamii wa Torch Media, Caren-Tausi Mbowe ameibuka mshindi wa kwanza katika Tuzo za Uandishi wa Habari za Afya juu ya Udhibiti wa Bidhaa za Tiba zinazotolewa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA). Caren-Tausi ambaye kwa sasa ni Mhariri wa Mtandaoni katika Kampuni ya Sahara Media inayoendesha Televisioni…

Read More