
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 31,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 31,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 31,2024 About the author
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam August 31, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 31, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Bakari Steven Machumu (BSM) ameaga MCL akiwa na urithi mkubwa katika uongozi, uandishi wa habari, na ubunifu.Naam. Rafiki yangu na mwanahabari mwenzangu, Bakari Steven Machumu ambaye anapenda kulifupisha jina lake kwa herufi tatu – BSM, amemaliza safari ya kutukuka kitaaluma, kihabari na kiuongozi katika kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL). Bakari au BSM kama ninavyopenda…
Msemo wa wahenga unasema: “Kile kisichokuua kinakufanya kuwa na nguvu zaidi.” Msemo mwingine unasema hivi: “Meli bandarini iko salama, lakini haijajengwa kwa ajili ya kubaki bandarini.” Hiyo ndiyo imekuwa safari ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) – kuchunguza, kuthubutu na kushinikiza mipaka, ingawa ndani ya mipaka husika. Katika mchakato huo tulijikuta tukiungua vidole mara kwa mara….
Dar es Salaam. Ukiihesabu miaka minne kwa umri wa binadamu, basi ni mtoto anayemudu kutembea, anakimbia na sasa anatamka karibu kila neno. Hicho ndicho kipindi ambacho Bakari Machumu amehudumu nafasi ya mkurugenzi mtendaji katika miaka yake 20 aliyofanya kazi kwenye Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL). Machumu amekuwa kwenye nafasi hiyo ya juu tangu Aprili…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania August 30, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo August 30, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam August 30, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 30, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 30,2024 About the author
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania August 29, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo August 29, 2024 first appeared on Millard Ayo.