Silaa: Tunataka vijana wajiajiri kupitia ubunifu wa kiteknolojia

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Jerry Silla amesema ubunifu wa kidigitali ndio njia pekee itakaowezesha vijana kujiajiri na kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Ameyasema hayo leo Septemba 19, 2024 katika kongamano la mashindano ya ubunifu wa teknolojia (US-Tanzania Tech Challenge 2024) yaliyoandaliwa na Ubalozi wa Marekani lililofanyika jijini Dar es…

Read More

Waandishi 17 wa Mwananchi kuwania tuzo za Ejat

Dar es Salaam. Waandishi 17 wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) ni miongoni mwa wateule 72 watakaowania tuzo za umahiri za uandishi wa Habari (Ejat) zinazotolewa na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Kati ya waandishi 72 watakaoshiriki kinyang’anyiro hicho Septemba 28, 2024 wanaume ni 45, sawa na asilimia 62.5 na wanawake ni 27 sawa…

Read More

HADITHI: Bomu mkononi – 2

Nilipoona mazungumzo yake hayaingii kichwani mwangu nikajidai kumuuliza. “Bidhaa tu za Wahindi.” “Mkifika Dar, kesho mnaondoka tena?’ “Kupatikana kwa mzigo, kama mzigo upo tunaondoka tena.” “Sasa nyinyi mnalala muda gani? Au ndio mnakula mirungi usiku na mchana?” “Tunalala. Kama tunafika hii alfajiri tunasubiri kuche, tunashusha mzigo wa watu halafu narudisha gari, tunakwenda kulala. Kama kuna…

Read More