Jukumu la wabunge, wasanii na wanahabari uchaguzi Serikali za mitaa
Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito maalumu kwa wabunge, wasanii na vyombo vya habari kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Majaliwa ametoa kauli hiyo Ijumaa, Septemba 6, 2024, katika hotuba yake ya kuahirisha mkutano wa 16 wa Bunge uliojadili masuala mbalimbali na kupitisha…