Viongozi wamuelezea Machumu, afunguka kuhusu hofu yake

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa siasa na Serikali wamezungumza namna walivyomfahamu aliyekuwa Mkurugenzi wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu katika hafla ya kumuaga. Viongozi wa kisiasa waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika jana (Septemba 6, 2024) ni pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Emmanuel Nchimbi, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na aliyekuwa Kiongozi Mkuu…

Read More