Mbowe kumburuza Mchungaji Msigwa kortini, mwenyewe ajibu
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amevunja ukimya na kutangaza kusudio la kumfikisha mahakamani kutokana na kauli za mfululizo zinazotolewa dhidi yake na mbunge wa zamani wa Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa. Mbowe ametangaza kusudio hilo kupitia barua ya notisi ya madai aliyomwandikia Mchungaji Msigwa kupitia…