Tamisemi kutangaza ratiba ya  uchaguzi Serikali za mitaa 

Dodoma. Kipenga cha uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka 2024, kitapulizwa kesho Alhamisi, Agosti 15, 2024 wakati Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohammed Mchengerwa atapotoa tangazo la uchaguzi huo. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Tamisemi, Nteghenjwa Hosseah, tangazo hilo litatolewa…

Read More