Kumradhi Nehemiah Mchechu | Mwananchi

Kampuni ya Mwananchi Communications Limited, wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen, na Mwanaspoti, inaomba radhi kwa Nehemiah Kyando Mchechu kutokana na makala iliyochapishwa katika toleo Na. 4551 la gazeti la The Citizen Ijumaa la Machi 23, 2018. Tunakiri kuwa habari hiyo ilikuwa na tuhuma ambazo zimebainika kuwa za kudhalilisha dhidi ya Mchechu na ilikuwa…

Read More

 Kumradhi Nehemiah Mchechu | Mwananchi

Kampuni ya Mwananchi Communications Limited, wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen, na Mwanaspoti, inaomba radhi kwa Nehemiah Kyando Mchechu kutokana na makala iliyochapishwa katika toleo Na. 4551 la gazeti la The Citizen Ijumaa la Machi 23, 2018. Tunakiri kuwa habari hiyo ilikuwa na tuhuma ambazo zimebainika kuwa za kudhalilisha dhidi ya Mchechu na ilikuwa…

Read More

Sh7.06 bilioni zaingizwa Sabasaba, Majaliwa aacha maagizo

Dar es Salaam. Wakati biashara ya zaidi ya Sh7.06 bilioni ikifanyika katika maonyesho ya Sabasaba yaliyofikia tamati, Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa maagizo saba ambayo yanalenga kuboresha ukuaji wa biashara nchini. Majaliwa alitoa maagizo hayo jana Julai 13, 2025 wakati akifunga maonyesho hayo ya 49 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam…

Read More

Mkakati huduma ya daladala baada ya mwendokasi

Dar es Salaam. Katikati ya dhana kuwa kuimarika kwa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutawaathiri wamiliki wa daladala, Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), umesema tayari utaratibu maalumu umepangwa kuhakikisha biashara ya wasafirishaji hao haiathiriki. Mtendaji Mkuu wa Udart, Dk Athumani Kihamia amesema utekelezwaji wa utaratibu huo, utahusisha kuundwa kwa kampuni ili daladala zote…

Read More