Dk Biteko mgeni rasmi kongamano la MSMEs

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la wajasiriamali wadogo, wa chini na wa kati (MSMEs). Kongamano hilo linaloandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communictions Limited (MCL), litafanyika Julai 5, mwaka huu, badala ya Juni 27 iliyotangazwa awali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…

Read More