Balozi Ruhinda, mpinzani wa uchifu wa kikoloni

Tukiwa bado na majonzi ya kumpoteza Balozi Ferdinand Kamuntu Ruhinda, mmoja kati ya wazalendo walioitumikia nchi hii kwa muda mrefu na kwa mapenzi makuu, hatuna budi kuendelea kuyaenzi yale mazuri aliyoyafanya. Kuna mambo mengi aliyoyafanya, ambayo hayakujulikana kabla ya kifo chake na hivyo kumfanya awe maarufu baada ya kuondoka duniani kuliko kipindi cha uhai wake….

Read More

Wananchi kupewa mabomu baridi kukabiliana na tembo Lindi, Ruvuma

Tunduru. Wizara ya Maliasili na Utalii imepeleka askari wanyamapori kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (Tawa) kuwafundisha wananchi wanaoishi katika maeneo yanayozunguka hifadhi na mapori, namna ya kukabiliana na wanyamapori, hasa tembo wanaokatisha kwenye makazi yao. Mafunzo haya yanatolewa katika Wilaya za Tunduru na Namtumbo mkoani Ruvuma na Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, yakiwa yanahusisha…

Read More

Wanyeche avunjwa ukimya, aitaja Lugalo

MSHINDI wa mashindano ya Gofu ya Alliance, yaliyofanyika wikiendi iliyopita mjini Morogoro, Enoshi Wanyeche ameweka wazi yeye ni mchezaji wa klabu ya Gofu ya Lugalo na sio Kili Golf ya Arusha kama alivyoripotiwa katika matoleo mawili ya gazeti hili. Akizungumza na Mwanaspoti jana asubuhi, nyota huyo alisema ni kweli amekuwa akifanya mazoezi na kuwepo mara…

Read More