
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 18,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 18,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 18,2024 Featured • Magazeti About the author
Dar es Salaam. Safari ya maisha ya hapa duniani ya Balozi Ferninard Ruhinda (86) imehitimishwa kwa mwili wake kuzikwa katika makaburi ya Kondo, yaliyopo Ununio, Dar es Salaam huku viongozi mbalimbali wa Serikali na wastaafu wakimwelezea utendaji wake hakujikweza, kutaka vyeo wala kuwa chawa. Balozi Ruhinda, aliyefariki dunia Juni 14, 2024 akiwa nyumbani kwake Masaki,…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam June 17, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 17, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania June 17, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 17, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 17,2024 Featured • Magazeti About the author
Dar es Salaam. Mmoja wa waasisi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Balozi Ferdinand Ruhinda (86) aliyefariki dunia juzi Juni 14, 2024 jijini Dar es Salaam, anatarajiwa kuzikwa kesho Jumatatu katika makaburi ya Kondo yaliyopo Ununio. Akizungumza leo Jumapili, Juni 16, 2024 Msemaji wa familia, ambaye ni mdogo wa marehemu, Edward Ruhinda amesema kabla…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam June 16, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 16, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 16,2024 Featured • Magazeti About the author
TAIFA liko msibani. Usiku wa juzi Ijumaa, saa 3:00 usiku alifariki dunia mmoja wa Watanzania walioweka alama ya pekee katika historia ya taifa letu, Balozi Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda (1938-39). Balozi Ruhinda anayetoka katika familia ya uchifu ni Mwandishi wa Habari kitaaluma na mwanadiplomasia. Alipata elimu yake ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha…
Taifa liko msibani. Usiku wa Ijumaa majira ya saa 3:00 usiku, Juni 14, 2024, alifariki dunia mmoja wa Watanzania walioweka alama ya pekee katika historia ya Taifa letu, Balozi Chifu, Ferdinand Kamuntu Ruhinda (1938-39). Balozi Ruhinda anayetoka katika familia ya uchifu ni mwandishi wa habari kitaaluma na mwana diplomasia. Alipata elimu yake ya uandishi wa…