Mtazamo kufungwa mtandao wa X wazua mjadala mzito

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) na baadhi ya viongozi wa dini kutoa matamko ya kuiomba Serikali iufungie mtandao wa X (zamani Twitter), baadhi ya wadau wamepinga vikali ombi hilo wakisema ni ukiukwaji wa haki ya uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. Hata hivyo,…

Read More