
Magazeti


Mzee Samatta umeenda, hadithi zako tutazisimulia
ALIYEKUWA Rais wa Awamu ya Pili Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, aliwahi kusema maisha ya mwanadamu ni hadithi tu hapa duniani, kwa sasa msemo huo unatumika kumsimulia maisha ya staa wa zamani wa Simba na Taifa Stars, Ally Pazi Samatta. Mzee Samatta alikutwa na umauti leo Jumapili asubuhi na nilipokea ujumbe mfupi katika simu yangu uliyoandikwa;…


Fyatu kutoa gari kwa kila mpika kura ya kula
Kama mjuavyo, uchakachuaji, sorry, uchaguzi mkubwa umekaribia, na ninagombea urahis na lazima nitashinda hata kama ni kwa goli la mkono kama lile na Mapepe Tunaye. Hivyo, kwa vile mie ni muwazi, naweka wazi mikakati na ukarabati wa kushinda hii kitu mapema asubuhi kama ifuatavyo: Mosi, kuanzia sasa, nitamwaga ndinga kali na za bei mbaya za…




Maisha yaanza kurejea Tehran, Tel Aviv baada ya mapigano makali
Tehran. Baada ya siku 12 za piga nikupige kati ya Iran na Israel kufuatia mzozo wa kile kilichodaiwa vinu vya nyuklia vya Iran sasa imeelezwa shughuliz imeanza kurejea kama illivyokawaida katika jiji la Tehran na Tel Aviv maeneo yaliyokuwa kama shabaha kwa sehemu kubwa. Katika mapigano makali ya mabomu yalivyodumu karibu wiki mbili mamia ya…

