
MISA-TAN YATOA TUZO KWA VINARA WA UHURU WA KUJIELEZA TANZANIA
Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi (kushoto) akikabidhi tuzo kwa Richard Mabala – Picha na Kadama Malunde Na Marco Maduhu, Dar es salaam TAASISI ya Vyombo vya habari kusini Mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA-TAN), wametoa Tuzo za heshima kwa Vinara wa uhuru wa kujieleza. Vinara waliopewa Tuzo hizo ni Maxence Melo,…