RUWASA yachongewa, yateketeza mamilioni kwa maji yenye magadi

SAKATA la ukosefu wa maji wilayani Momba mkoani Songwe limezidi kushika kasi baada Diwani wa Kata ya Ivuna – Bonde la Kamsamba, Erick Mkamba ‘Magazeti’ kudai kuwa mamilioni fedha ya miradi ya maji iliyotolewa na Serikali, yamepotea kwa kuelekezwa kwenye miradi isiyokuwa na tija kwa wananchi. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Mkamba ameyasema hayo jana…

Read More