Better Mnyamisi atimkia Bigman FC
BIGMAN imekamilisha usajili wa beki wa kati, Better Abdallah Mnyamisi, aliyekuwa akikichezea kikosi cha IAA cha jijini Arusha kinachoshiriki Ligi Daraja la Pili, baada ya kuzishinda Mbeya Kwanza na Stand United zilizokuwa zinamtaka. Beki huyo alijiunga na IAA baada ya kuachana na TMA ya jijini Arusha inayoshiriki Ligi ya Championship, amefikia makubaliano ya kusaini mkataba…