Tanzania Prisons yamalizana na Mpole, Martin

TANZANIA Prisons imekamilisha usajili wa washambuliaji George Mpole na Emmanuel Martin, na tayari wamejiunga kambini kujiandaa na mechi dhidi ya JKT Tanzania itakayopigwa kesho, Jumapili kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Taarifa za ndani kutoka timu hiyo zimedai usajili wa Mpole ambaye aliyeifungia mabao mawili Pamba Jiji kabla ya kuachana nayo msimu uliyopita na Martin…

Read More

Straika Transit Camp haamini alichofanya Championship

MSHAMBULIAJI wa Transit Camp, Adam Uledi amesema tangu amecheza mpira wa miguu hajawahi kufunga idadi kubwa ya mabao 11, aliyoyafunga msimu huu, jambo linalompa matumaini makubwa ya kuendelea kupambana ili azidi kuonekana zaidi. Akizungumza na Mwanaspoti, Uledi anayeongoza kwa mabao msimu huu baada ya kufunga 11 kati ya 21 yaliyofungwa na kikosi hicho msimu huu,…

Read More

Better Mnyamisi atimkia Bigman FC

BIGMAN imekamilisha usajili wa beki wa kati, Better Abdallah Mnyamisi, aliyekuwa akikichezea kikosi cha IAA cha jijini Arusha kinachoshiriki Ligi Daraja la Pili, baada ya kuzishinda Mbeya Kwanza na Stand United zilizokuwa zinamtaka. Beki huyo alijiunga na IAA baada ya kuachana na TMA ya jijini Arusha inayoshiriki Ligi ya Championship, amefikia makubaliano ya kusaini mkataba…

Read More

Stand Utd yabadili gia, nyota 10 wakimbia njaa

SUALA la ukata limeendelea kuitesa Stand United ya Shinyanga na dirisha dogo zaidi ya wachezaji 10 wameondoka na wengine kugoma. Hali hiyo imelilazimisha benchi la ufundi na uongozi wa klabu hiyo kuja na mbinu mbadala za kupata wachezaji watakaokubali kucheza kwenye mazingira magumu yasiyo na uhakika wa kupata stahiki mwisho wa mwezi. Timu hiyo iko…

Read More

Kwa Chama Barker kashindwa kujizuia

KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker ameshindwa kujizuia kwa kuonyesha kuvutiwa na urejeo wa kiungo fundi raia wa Zambia, Clatous Chama, akisema usajili huo ni hatua muhimu katika kuimarisha kikosi hicho kutokana na uzoefu wake. Mara ya kwanza, Chama alitua Simba mwaka…

Read More

Straika Yanga: Yule Okello mtu sana!

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Hamis Kiiza ‘Diego’ amemtabiria makubwa kiungo mpya wa timu hiyo, Allan Okello ‘Star boy’, huku akisema Yanga imelamba dume kwa nyota huyo wa Uganda akiamini atafanya mambo makubwa ndani ya klabu hiyo na kuandika rekodi yake mwenyewe huku akiitaja nidhamu yake kuwa ndio itakayombeba. …

Read More

Karata ya Pedro Misri ipo hapa!

YANGA tayari ipo jijini Alexandria, Misri kuvaana na wenyeji Al Ahly katika mechi ya Kundi B, huku wawakilishi hao wa Tanzania wakiwa na matumaini na kuendelea ilipoishia na kuwatoa hofu mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo wakiwataka wawaombee dua tu ili wawape raha ugenini. …

Read More

Paul Peter anazitaka hela dirisha kubwa

KUMBUKUMBU tuliyonayo hapa kijiweni ni straika wa mpira, Paul Peter alishawahi kuonja hela za timu kubwa hapa nchini ingawa hazikuwa nyingi sana kwa vile alikuwa bado kinda wakati huo. Ni kipindi alipopandishwa katika kikosi cha wakubwa cha Azam FC baada ya kuonyesha kiwango kizuri akiwa na timu yao ya vijana. Hata hivyo, kutokana na uwingi…

Read More