HUENDA mshambuliaji wa Kitanzania na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Somon Msuva akasalia kwenye kikosi cha Al Talaba msimu ujao. Kiwango bora alichoonyesha Msuva akiisaidia
Category: Michezo

MABOSI wa Mbeya City wameanza kuingilia kati dili la beki wa kati wa Simba, Hussein Kazi ambaye mkataba wake na kikosi hicho cha Msimbazi umefikia

PAMBA Jiji imeonyesha nia ya kunasa saini ya winga wa zamani wa Fountain Gate, Mghana, Nicholas Gyan kwa ajili ya kuwapa huduma yake msimu ujao

BEKI wa kati wa Coastal Union na timu ya Taifa ya Zanzibar, Abdallah Denis ‘Vivaa’, ametamka wazi kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ndiye

LEO saa 4:00 usiku, timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars itashuka kwenye Uwanja wa Stade Municipal de Berkane, Morocco, kuivaa Mali katika

MABOSI wa Dodoma Jiji FC wako katika mazungumzo ya kuipata saini ya aliyekuwa kocha wa Tabora United, Mkongomani Anicet Kiazayidi baada ya kuvutiwa na uwezo

WATANI wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga wameendelea ushindani wao nje ya uwanjani kwa kuamua kuvamia visiwani Zanzibar na hususani katika klabu ya

LILE dili la kiungo mshambuliaji Stephane Aziz KI pale Wydad Athletic limeingia mdudu baada ya kocha wa timu hiyo kutaka akatwe na akikatwa anarejea Yanga,

KLABU zinazoshiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, zikiwamo Simba na Yanga za Tanzania Bara na Mlandege ya visiwani Zanzibar zimeongezewa neema baada ya Shirikisho

Licha ya kutotekelezwa sheria ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kuhusu haki za wachezaji wa kike wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua, uchunguzi