TPLB yatembeza rungu wamo waamuzi, makamishna

KAMATI ya Usimamizi wa Ligi Kuu Bara imeshusha adhabu Mbeya City, Namungo, Coastal Union, waamuzi na maofisa wengine. Adhabu ya Mbeya City imewakumba mastaa wawili Gabriel Mwaipola akifungiwa mechi tano sambamba na faini ya Sh5 milioni kufuatia kosa la kumpiga kwa kiwiko Rajab Mfuko wa Namungo wakati timu hizo zilipokutana. Vitalis Mayanga amekumbana na adhabu…

Read More

Nahodha Geita Gold awashtua wenzake

NAHODHA Msaidizi wa Geita Gold, Saidy Mbatty amewataka wachezaji wenzake kuendelea kucheza kwa ushirikiano mkubwa hadi mwisho wa msimu, kwani kwa kufanya hivyo itakuwa ni njia nzuri ya kufanikisha malengo ya kuirejesha timu hiyo Ligi Kuu. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea Fountain Gate, amesema mwenendo wa timu ni mzuri, ingawa wanahitaji…

Read More

Mchakato wa kocha mpya Simba, pande mbili zakutanishwa mezani

MABOSI wa Simba wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Crescentius Magori, muda wowote kuanzia kesho Jumatatu wataitisha kikao kizito ili kuamua hatma ya kocha mpya, huku kukiwa na pande mbili za msako wa kubeba mikoba ya Dimitir Pantev aliyeondoka hivi karibuni. Awali Mwanaspoti lilipenyezewa taarifa kwamba Simba kupitia kigogo wa zamani wa klabu hiyo,…

Read More

WPL mzigo umerudi, mechi tatu kupigwa

MZIGO wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) umerudi tena kwa mechi tatu kutarajiwa kuchezwa kesho Jumatatu Desemba 8, 2025, ikiwamo ile ya watetezi wa taji JKT Queens itakayokuwa inakula kiporo dhidi ya Bunda Queens. Mechi nyingine za kesho katika ligi hiyo ni Alliance Girls dhidi ya Fountain Gate Princess, kikiwa pia ni kiporo, huku Tausi…

Read More

Siku 637 za Manula, Simba, Yanga zaguswa Bara

KIPA Aishi Manula amerejea uwanjani akiea na jezi ya Azam. Kwa mara ya kwanza kocha Florent Ibenge alimtumia katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Desemba 3, 2025 dhidi ya Singida Black Stars na jamaa akatoka na clean sheet baada ya timu hizo kushindwa kufungana. Sasa kama hujui ni kwamba mechi hiyo ilihitimisha siku 637…

Read More

Wakazi Dar na kilio cha ulinzi shirikishi

Dar es Salaam. Wakati Serikali za mitaa zikisisitiza ushiriki wa wananchi katika kulinda makazi yao, baadhi ya wananchi wanalalamikia mfumo wa ulinzi shirikishi, wakidai umepoteza mwelekeo. Wamesema mpango wa ulinzi shirikishi umegeuka kutoka kuwa msingi wa usalama wa raia na mali zao na kusababisha mpasuko katika jamii. Miongoni mwa mambo yanayolalamikiwa ni kutozwa fedha za…

Read More