Rostam ainunua Nation Media Group

Dar es Salaam/Nairobi. Mfanyabiashara wa Afrika Mashariki, Rostam Azizi, kupitia kampuni yake ya Taarifa Ltd amenunua hisa zote zilizokuwa zikimilikiwa na Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) katika kampuni ya NPRT Holdings Africa Limited, hatua inayomfanya kuwa mbia mkuu wa Nation Media Group (NMG). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 10, 2026, inaeleza…

Read More

WANAWAKE WA UWT KIBAHA MJI WAANZA KUTEMA CHECHE BAADA YA USHINDI WA KISHINDO KATIKA UCHAGUZI MKUU

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Jumuiya ya umoja wa wanawake (UWT)  Wilaya  ya  Kibaha mjini katika kukiimarisha chama imeamua kufanya ziara maalumu yenye lengo la kuwashukuru  na kuwapongeza  wanawake kwa umoja wao na mshikamao waliouonyesha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupelekea chama cha mapinduzi (CCM)  kuweza  kushinda kwa kishindo katika nafasi za Udiwani, Ubunge pamoja…

Read More

ZFF yataja mikakati ya kuinua soka Zanzibar

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF), Hussein Ahmada Vuai amesema shirikisho hilo linaendelea na jitihada za kuleta mabadiliko katika Ligi Kuu Soka Zanzibar ili kutambulika zaidi Afrika. Alisema mbali na ubora wa wachezaji, ligi hiyo inanufaika kwa kuboreshwa kwa miundombinu ya michezo na makocha wazoefu ambao wamewahi kufanya kazi kwenye baadhi ya klabu…

Read More

Azam yairudisha Yanga Benjamin Mkapa, yataja sababu

Azam imethibitisha kwamba mchezo wake dhidi ya Yanga, Jumapili, Machi 15, 2026 utachezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa badala ya Azam Complex, Dar es Salaam. Ofisa Habari na Mawasiliano wa Azam FC, Thabit Zakaria ‘Zaka Zakazi’ amesema kuwa wameamua kucheza mechi hiyo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa vile wamiliki wamewapa ruhusa ya kuutumia kwa…

Read More

Doumbia ni suala la muda tu Yanga

UONGOZI wa Yanga, umetaja mambo mawili ambayo yatalifanya benchi la ufundi la timu hiyo kuamua kuwarejesha kikosini au kuachana na nyota watatu wa kimataifa ambao timu hiyo imewatoa kwa mkopo kwenda timu tatu tofauti katika nchi za Afrika Kusini, Algeria na Afrika Kusini. …

Read More

ASEC yafunguka usajili straika Simba

SIMBA inapiga hesabu za kumchukua staa wa ASEC Mimosas, Souleymane Fofana ambaye ni mjuzi wa kufumania nyavu kwa mabao ya viwango. Sasa uongozi wa klabu yake umefunguka namna ya kukamilika kwa dili hilo. Simba inapiga hesabu kali za kumsajili mshambuliaji Fofana anayeichezea ASEC…

Read More

Yanga yaitibulia Simba, Backer akiri!

KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker ameeleza kile kipigo ilichopokea Singida Black Stars cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga, kwao kimewaongezea ugumu wanapokwenda kukutana na Walima Alizeti hao, lakini wamejipanga kufanya kweli. Barker ameliambia Mwanaspoti: “Pamoja na ugumu huo, nimewajenga wachezaji kimbinu na…

Read More

Hii ni safari mpya ya Kagoma Simba

BAADA ya kiungo mkabaji wa Simba, Yusuph Kagoma kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo, ameelezea safari yake mpya namna alivyo na kazi ya kuhakikisha mchango wake unakuwa muhimu katika kutimiza malengo ya timu. Kagoma aliyezaliwa Gungu, Kigoma Aprili 3, 1996 na sasa ana umri wa miaka 29), alijiunga na Simba Julai 8,…

Read More

Yanga, Simba zapishana na mamilioni CAF

Hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu wa 2025/2026 inaanza wiki hii bila uwepo wa klabu za Tanzania kwa vile klabu za Yanga, Simba, Azam na Singida Black Stars zimeishia katika hatua ya makundi. Timu hizo nne za Tanzania hasa Simba na Yanga ni kama zimepishana…

Read More

Pata ODDS Zote za Simba Ndani ya Meridianbet

Meridianbet inakwambia kuwa unaweza ukabashiri mechi zote za Simba ambapo ODDS zao ni kubwa lakini pia mechi hiyo inakuwa na machaguo unayoyapenda. Jisajili na ubashiri sasa. Kwenye ligi kuu ya Tanzania yaani (NBC Premier League), Simba imekuwa ikikumbwa na mwenendo usio thabiti wa matokeo. Kumekuwa na vipindi vya ushindi vinavyofuatwa na matokeo yasiyoridhisha, hali iliyosababisha…

Read More