Simbachawene Awapa Polisi Maagizo Mapya ya Kukamata Watuhumiwa – Video
George Simbachawene Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi, ameagiza jeshi la polisi kuhakikisha kuwa taratibu za ukamataji watuhumiwa zinafanyika kwa kufuata sheria,weledi na staha. Akizungumza leo tarehe 8 Decemba 2025 wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari, Simbachawene amesema aina ya ukamataji unaofanywa na baadhi ya askari ikiwemo kuvaa kininja,…