Tanzania Prisons yamalizana na Mpole, Martin
TANZANIA Prisons imekamilisha usajili wa washambuliaji George Mpole na Emmanuel Martin, na tayari wamejiunga kambini kujiandaa na mechi dhidi ya JKT Tanzania itakayopigwa kesho, Jumapili kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Taarifa za ndani kutoka timu hiyo zimedai usajili wa Mpole ambaye aliyeifungia mabao mawili Pamba Jiji kabla ya kuachana nayo msimu uliyopita na Martin…