Simba na rekodi ya ajabu Cecafa Kagame Cup

LICHA ya kutoshiriki fainali za Cecafa Kagame 2025, Simba inashikilia rekodi mbili kwa wakati mmoja ikiwa ni timu iliyotwaa mataji mengi zaidi na ndiyo iliyopoteza mechi nyingi zaidi za fainali katika mashindano hayo. Wekundu hao wa Msimbazi wametwaa taji mara sita miaka ya 1974, 1991, 1992, 1995, 1996 na 2002 na kuwafanya kuwa timu yenye…

Read More

Tabora United yatangulia nusu fainali kwa kishindo

USHINDI wa mabao 4-0 ilioupata Tabora United dhidi ya Eagle FC, umeifanya timu hiyo kufuzu nusu fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Tabora United imetinga nusu fainali kufuatia kukusanya pointi sita kwenye Kundi A lenye timu tatu baada ya kushinda mechi zote mbili. Katika mchezo uliofanyika leo Septemba 2, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite…

Read More

Manyika aingia Namungo na mkakati wa kufuta rekodi mbovu

Rekodi ya Namungo kuwa na wastani wa kuruhusu mabao 30+ katika kila msimu ndani ya misimu sita iliyoshiriki Ligi Kuu Bara tangu 2019-2020, imemfanya kocha wa makipa wa kikosi hicho, Peter Manyika, kuingia na mpango kazi maalum. Manyika amesema katika kuhakikisha lango la timu hiyo linakuwa salama zaidi, anapambana kuwaandaa vijana wake kuwa katika kiwango…

Read More

Kocha Fountain Gate Princess azitaka Simba, Yanga

KOCHA wa Fountain Gate Princess, Noah Kanyanga amesema mikakati ya timu hiyo ni kuhakikisha inarudi kwenye makali yake na kupambania ubingwa mbele ya vigogo Simba Queens na Yanga Princess. Kanyanga aliwahi kuzifundisha Ceasiaa Queens, Mburahati Queens, Gets Program na sasa Fountain Gate aliyoanza nayo mwishoni mwa msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema msimu uliopita haukuwa…

Read More

Yanga kuzindua ‘Tunapiga kichwani’ kesho Dar

Yanga itazindua tamasha la Wiki ya Mwananchi kesho katika Viwanja vya Zakhem vilivyopo Mbagala jijini Dar es Salaam huku ikithibitisha kuwa baadhi ya tiketi zimeisha. Meneja wa Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amesema katika uzinduzi huo watataja majina ya wasanii watakaonogesha kilele Cha tamasha hilo litakalofanyika Septemba 12. Kamwe amesema wamefanya maboresho makubwa kuelekea kilele…

Read More

Kamwe amjibu Fadlu, awataja Pacome, Nzengeli

Ulisikia kocha wa Simba, Fadlu Davids akidai kwamba kikosi chake kinakosa mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kuamua mechi akitumia neno X- factor? Basi Yanga imemjibu. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amemjibu Fadlu kiaina akisema timu yao wala haina shida na wachezaji wenye ubora huo. Kamwe amesema Yanga ina wachezaji wengi wenye…

Read More

Simba kuwatangaza Nangu, Yakoub | Mwanaspoti

WACHEZAJI wapya wa Simba, kipa Yakoub Suleiman na beki wa kati Wilson Nangu tayari wamepigwa picha zitakazotumika kuwatangaza kuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao. Chanzo cha uhakika cha Mwanaspoti kimesema baada ya Simba kukamilisha kila kitu kwa ajili ya usajili wa wachezaji hao, leo Jumanne wamepigwa picha kabla ya kujiunga na timu ya…

Read More

Maximo achekelea kupewa mechi ngumu

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema uwepo wa timu hiyo katika michuano ya Kombe la Kagame 2025 itakuwa chachu katika kufanya maandalizi bora ya msimu 2025/26 kutokana na kukutana na timu ngumu zinazoshiriki michuano ya kimataifa. KMC na Singida Black Stars zimepata nafasi ya kushiriki michuano hiyo baada ya Simba na Yanga kujiengua kutokana…

Read More