Barker: Ile suluhu, tatizo Diarra

SIMBA imerejea nyumbani ikitokea Zanzibar ilikotoka sare dhidi ya mtani wake Yanga pale Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar huku kocha Steve Barker akiwasifia mastaa wa kikosi hicho na kumtaja kipa Djigui Diarra kwamba ndiye aliyezuia ushindi wa Wekundu hao. …

Read More

Kuelekea siku ya wanyamapori miti zaidi ya 2,700 yapandwa Arumeru

Arusha. Kuelekea maadhimisho ya siku ya Wanyamapori duniani yanayofanyika kila mwaka, Machi 3, Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wameendelea na wiki maalum ya shughuli za uhifadhi wa mazingira, ikiwemo upandaji wa miti ya dawa na ya manukato. Maadhimisho hayo yanatarajiwa kufanyika Kitaifa kesho mkoani Arusha, yataongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu…

Read More

Mshambuliaji Mtanzania asimulia athari mgogoro Iran

WAKATI hali ya taharuki ikiendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya Kati kufuatia mshambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran, imeripotiwa wachezaji watatu wa Kitanzania wanaokipiga katika ukanda huo wako salama. Wachezaji hao ni mshambuliaji Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu Iraq, Clara Luvanga (Al Nassr, Saudia) na Morice Sichone…

Read More

Kufunga kwampa mzuka Adeyum Saleh

BEKI wa kushoto wa Bigman, Adeyum Saleh, amesema siri ya kufunga mabao zaidi kwa sasa katika kikosi hicho ni kutokana na umakini mkubwa aliokuwa nao wa kumalizia nafasi, hususani anapokuwa anatengeneza mashambulizi kutokea pembeni ya uwanja. Akizungumza na Mwanaspoti, Adeyum aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu baada ya kuachana na Geita Gold, amesemamechi za hivi…

Read More

Uwanja wa Mkapa kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Akizungumza katika mahojiano na gazeti la The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,…

Read More

Mshambuliaji Mtanzania asimuliwa athari mgogoro Iran

WAKATI hali ya taharuki ikiendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya Kati kufuatia mshambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran, imeripotiwa wachezaji watatu wa Kitanzania wanaokipiga katika ukanda huo wako salama. Wachezaji hao ni mshambuliaji Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu Iraq, Clara Luvanga (Al Nassr, Saudia) na Morice Sichone…

Read More

Richardson Ng’ondya atangaza vita mpya Geita Gold

KIUNGO mshambuliaji wa Geita Gold, Richardson Ng’ondya amesema kufanya vizuri kwa washindani wao wakubwa msimu huu, ni jambo linalowaongezea morali ya kupambana zaidi, ili kwa pamoja wafikie malengo ya kuirejesha tena timu hiyo Ligi Kuu. Nyota huyo, amesemaubora wa benchi la ufundi na wachezaji wa kikosi hicho unawapa motisha ya kuipambania timu hiyo ili irejee…

Read More

Barberian FC yanyatia rekodi mbovu Championship

TIMU ya Barberian, inanyemelea rekodi mbovu msimu huu katika Ligi ya Championship, baada ya kikosi hicho ambazo zamani kilikuwa kinafahamika kwa jina la Kiluvya United, kushinda mechi moja tu hadi sasa kati ya 19 ilizocheza, kikiwa mkiani. Katika mechi hiyo moja ambayo kikosi hicho imeshinda msimu huu, ilikuwa ya ushindi wa mabao 2-1, dhidi ya…

Read More

Uwanja wa Mpaka kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Akizungumza katika mahojiano na gazeti la The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,…

Read More

MOI mguu sawa Afcon 2027

TAASISI ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), imesema iko tayari kwa ajili kutoa huduma kwa wanamichezo watakaopatwa na madhira kwenye mashindano ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027. Tanzania itakuwa mwenyeji katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2027 ikiungana na nchi za Kenya na Uganda ambapo maandalizi yanaendelea. Mkurugenzi wa MOI, Dk…

Read More