Barker: Ile suluhu, tatizo Diarra
SIMBA imerejea nyumbani ikitokea Zanzibar ilikotoka sare dhidi ya mtani wake Yanga pale Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar huku kocha Steve Barker akiwasifia mastaa wa kikosi hicho na kumtaja kipa Djigui Diarra kwamba ndiye aliyezuia ushindi wa Wekundu hao. …