TAFCA Mwanza yamkingia kifua Matola
CHAMA cha Makocha Tanzania (TAFCA) Mkoa wa Mwanza kimeungana na baadhi ya mashabiki na wadau wa soka nchini wanaompigia chapuo kocha mzawa Selemani Matola kuaminiwa na Simba na kupewa jukumu la kukinoa kikosi hicho moja kwa moja. Matola amedumu Simba kama kocha msaidizi kwa takriban miaka 10 akiwa chini ya makocha wengi wa kigeni katika…