Simba yabisha hodi Mamelodi, yaondoka na De Reuck

SIMBA inaripotiwa imemnasa beki wa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Rushine De Reuck kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mtandao wa idiskitimes.co.za wa Afrika Kusini umeripoti kwamba beki huyo mwenye umri wa miaka 29 anaondoka Mamelodi Sundowns baada ya kuitumikia kwa miaka minne. Ndani ya Simba, De Reuck anategemewa kuziba pengo la Che Fondoh Malone ambaye ameachana…

Read More

Mghana aingia anga za Azam FC

MABOSI wa Azam FC wanafanya maboresho ya timu hiyo kwa ajili ya kuhakikisha msimu ujao wanaleta ushindani mkubwa, ambapo kwa sasa inadaiwa wameanza mazungumzo ya kuiwinda saini ya beki wa kushoto wa Singida Black Stars, Mghana Ibrahim Imoro. Imoro aliyejiunga na timu hiyo Julai 1, 2024, inaelezwa ni pendekezo la kocha mpya wa kikosi hicho,…

Read More

Maafande wa JKT Tanzania kumng’oa beki Yanga

MAAFANDE wa JKT Tanzania wapo siriazi na usajili wa beki kinda wa Yanga, Isack Mtengwa, ikielezwa wanajeshi hao wako katika mpango wa kuvunja mkataba ili kumnunua moja kwa moja. Msimu uliopita, nyota huyo aliichezea Wakiso Giants ya Uganda kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Yanga U-20, akiungana na beki mwenzake Shaibu Mtita. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Singida Black Stars yafuata kiungo Ivory Coast

MABOSI wa Singida Black Stars wanaendelea kuvuta majembe ya msimu ujao, ikijapanga kumalizana na kiungo mshambuliaji wa Zoman FC, Idrissa Diomande ‘Yaya Toure’ kutoka Ivory Coast. Rekodi zinaonyesha kiungo huyo ambaye ameichezea Zoman FC kwa miaka miwili, amemaliza kibabe msimu uliopita kwa kufunga mabao tisa na kupewa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa klabu…

Read More

Sowah atulize kichwa pale Msimbazi

KAMA kweli Simba imemsajili Jonathan Sowah, basi watu wa mpira tunakubaliana imepata mshambuliaji ambaye analijua kweli goli na ni tishio kwa wapinzani. Jamaa anajua kufunga, pia anaweza kukaa katika nafasi na kufanya vitu vingine vya kishambuliaji anapolikaribia lango la timu pinzani kama vile kupindua mabeki na kuwanyima uhuru. Namba zake Ligi Kuu Bara msimu uliopita…

Read More

Beki Simba Queens atimkia Misri

ALIYEKUWA beki wa Simba Queens, Violeth Nickolaus ameshajiunga na kikosi cha FC Masar kinachoshiriki Ligi ya Wanawake huko Misri. Violeth, aliyekuwa nahodha wa Simba Queens, aliondoka nchini juzi kujiunga na kambi ya timu hiyo inayoanza maandalizi ya mashindano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa kwa wanawake yatakayoanza mapema mwezi ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, mmoja wa watu…

Read More

Yanga sasa kutema kumi | Mwanaspoti

INAELEZWA Yanga Princess imeshawapa taarifa wachezaji 10 ambao hawataendelea nao msimu ujao, akiwamo kinara wa ufungaji, Neema Paul. Kwa mujibu wa Mratibu wa Yanga Princess, Kibwana Matokeo, kuelekea msimu ujao wanafanya marekebisho kwenye baadhi tu ya maeneo. Nyota hao ni Neema Paul aliyemaliza kinara wa mabao akiweka mabao 12, Danai Bhobho ambaye alitumikia Yanga kwa…

Read More

Yanga yampigia  hesabu Mtunisia | Mwanaspoti

YANGA leo jioni imetangaz akumuongezea mkataba wa miaka miwili, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Pacome Zouzoua, ikiwa ni sehemu ya kuboresha kikosi cha msimu ujao, lakini ikielezwa kwamba sio kwa wachezaji tu, bali hata katika benchi la ufundi nako kuna watu wanashushwa. Ndio, Yanga iliyomtambulisha kocha mpya, Romain Folz jana jioni, baada ya awali kumtambulisha…

Read More

Uganda yaichapa Senegal 2-1 Cecafa Pre-Chan 2024

Mabingwa watetetzi wa Kombe la CHAN, Senegal wameanza vibaya maandalizi ya michuano hiyo baada ya kupoteza kwa mabao 2-1 katika mashindano ya CECAFA Pre CHAN dhidi ya Uganda. Katika mchezo huo uliofanyika leo Julai 24, 2025 kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu mkoani Arusha, timu hizo zilienda mapumziko zikiwa hazijafungana. Baada ya kurejea kipindi…

Read More

Panga kuendelea Mashujaa FC, yaacha watano

UONGOZI wa maafande wa Mashujaa FC, umetangaza kuachana na nyota watano wa kikosi hicho baada ya kutofikia makubaliano ya kusaini mkataba mpya, huku ikielezwa huenda ikaachana na wimbi kubwa la wachezaji ili kufanya maboresho kikosini. Nyota waliotangazwa kuachwa na timu hiyo ni beki wa kulia, Omary Kindamba na viungo, Zubery Dabi na Ally Nassoro Iddi…

Read More