Tabu iko palepale, Pacome aongeza miwili Yanga

KLABU ya Yanga imethibitisha kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake, Pacome Zouzoua baada ya ule wa awali kumalizika mwisho wa msimu uliopita 2024-2025. Kiungo huyo raia wa Ivory Coast, alitua Yanga msimu wa 2023-2024 akitokea ASEC Mimosas ambapo alikuwa Mchezaji Bora (MVP) wa Ligi Kuu ya Ivory Coast. Katika msimu uliopita 2024-2025, Pacome alikuwa…

Read More

Yahya Mbegu awindwa Mbeya City

UONGOZI wa Mbeya City uko katika hatua nzuri za kumsajili aliyekuwa beki wa kushoto wa maafande wa Mashujaa FC, Yahya Mbegu kwa ajili ya kuongezea nguvu kikosi hicho, huku mazungumzo yakienda vizuri baina ya upande wa mchezaji na klabu. Beki huyo alijiunga na Mashujaa Januari 12, 2025 kwa mkopo akitokea Singida Black Stars na sasa…

Read More

Watatu wakalia kuti kavu Mashujaa FC

UONGOZI wa maafande wa Mashujaa, huenda ukaachana na nyota watatu wa kikosi cha kwanza msimu huu, baada ya kutokuwa na maelewano mazuri ya kuongeza mkataba mpya, huku mabosi wa timu hiyo wakiendelea kupambana kwa lengo la kubakia nao. Nyota wanaotajwa huenda wakaachana na timu hiyo ni beki wa kulia, Omary Kindamba, beki wa kati, Ibrahim…

Read More

Kocha Morocco aita mashabiki CHAN ’24

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inayojiandaa na fainali za michuano ya Ubingwa kwa nchi za Afrika (CHAN) 2024, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amewaita mashabiki kujitokeza katika mechi za fainali hizo akisema kikosi hicho kipo freshi kwa vita hiyo inayoanza Agosti 2-30. Morocco aliyasema hayo mara baada ya kupata ushindi wa bao 1-0…

Read More

Singida Black Stars itampa fundisho Victorien Adebayor

MIAKA mitatu tu iliyopita jina la Victorien Adebayor lilikuwa maarufu katika ardhi ya Tanzania ingawa mchezaji huyo wa Niger alikuwa hachezi katika klabu ya hapa nyumbani. Kiwango bora alichokionyesha katika mechi za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ambalo timu yake ya Gendarmerie kiliikosha Simba ambayo ilitajwa kuanza harakati za kumuwania ikiamini ataimarisha kikosi chake….

Read More

Hamdi achomoa mtaalamu Singida Black Stars

ALIYEKUWA Kocha mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi aliyepo Ismailia ya Misri, amemchomoa mtaalam mmoja kutoka timu aliyowahi kufanya nao kazi ya Singida Black Stars. Hamdi aliyeondoka Yanga mara baada ya kuwapa mataji mawili kwa mpigo ya Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho (FA), mbali na lile la Kombe la Muungano aliwahi kuinoa Singida kwa muda…

Read More

Wadau wafunguka wasiwasi Sowah kutua Simba

Wakati Simba ikiripotiwa kuwa mbioni kumnasa Jonathan Sowah wa Singida Black Stars, Wachambuzi na makocha wa soka wameonyesha wasiwasi juu ya tabia za utovu wa nidhamu kwa nyota huyo ingawa wanaamini ni mshambuliaji sahihi kwa Wekundu hao wa Msimbazi. Sowah ambaye amefunga mabao 13 katika mechi 13 alizoitumikia Singida Black Stars tangu alipojiunga nayo katika…

Read More

Folz ndiye mshindi kujiunga na Yanga

KIJIWE kimelinyooshea mikono gazeti la Mwanaspoti maana ndiyo lilikuwa chanzo cha kwanza kuripoti habari za ujio wa Romain Folz kuja kuwa Kocha Mkuu wa Yanga. Ndicho kilichotokea kwani juzi Jumatano, Yanga ilimtangaza kocha huyo Msaidizi wa zamani wa Mamelodi Sundowns kuwa mrithi wa nafasi iliyoachwa wazi na Miloud Hamdi. Hatujui Yanga imefikiria au imetazama vitu…

Read More