Hamdi achomoa mtaalamu Singida Black Stars

ALIYEKUWA Kocha mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi aliyepo Ismailia ya Misri, amemchomoa mtaalam mmoja kutoka timu aliyowahi kufanya nao kazi ya Singida Black Stars. Hamdi aliyeondoka Yanga mara baada ya kuwapa mataji mawili kwa mpigo ya Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho (FA), mbali na lile la Kombe la Muungano aliwahi kuinoa Singida kwa muda…

Read More

Wadau wafunguka wasiwasi Sowah kutua Simba

Wakati Simba ikiripotiwa kuwa mbioni kumnasa Jonathan Sowah wa Singida Black Stars, Wachambuzi na makocha wa soka wameonyesha wasiwasi juu ya tabia za utovu wa nidhamu kwa nyota huyo ingawa wanaamini ni mshambuliaji sahihi kwa Wekundu hao wa Msimbazi. Sowah ambaye amefunga mabao 13 katika mechi 13 alizoitumikia Singida Black Stars tangu alipojiunga nayo katika…

Read More

Folz ndiye mshindi kujiunga na Yanga

KIJIWE kimelinyooshea mikono gazeti la Mwanaspoti maana ndiyo lilikuwa chanzo cha kwanza kuripoti habari za ujio wa Romain Folz kuja kuwa Kocha Mkuu wa Yanga. Ndicho kilichotokea kwani juzi Jumatano, Yanga ilimtangaza kocha huyo Msaidizi wa zamani wa Mamelodi Sundowns kuwa mrithi wa nafasi iliyoachwa wazi na Miloud Hamdi. Hatujui Yanga imefikiria au imetazama vitu…

Read More

Ikangaa, Akhwari wajitosa Urais RT

MBIO za kuwania nafasi katika Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) zinazidi kushika kasi kwa kujitokeza wagombea 20 hadi sasa wakiwamo watano wanaowania urais akiwamo nyota wa zamani wa kimataifa, Juma Ikangaa anayechuana na mtoto wa mkongwe wa mchezo huo, John Akhwari. Uchaguzi Mkuu wa RT unatarajiwa kufanyika Agosti 16 jijini Mwanza na nafasi zinazowaniwa ni…

Read More

Taifa Stars yawekewa Sh1 bilioni Chan 2024

KATIKA kuongeza hamasa ya kufanya vizuri kwenye Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars mezani wamewekewa kitita cha Sh1 bilioni endapo watatwaa ubingwa. Michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Agosti 2 hadi 30 mwaka huu, Tanzania ni nchi mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda. Taifa…

Read More

Damaro afunguka dili la Yanga SC

KATIKA siku za hivi karibuni, picha ya kiungo mkabaji wa Singida Black Stars, Mohammed Damaro, akiwa amevalia jezi ya Yanga, ilisambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii na kuibua mjadala miongoni mwa mashabiki wa soka nchini huku wengi wakihoji uwepo wake ndani ya uzi huo. Picha hiyo ilizua hisia mbalimbali, wapo waliodhani tayari ametua Jangwani,…

Read More

Wadau wafunuka wasiwasi Sowah kutua Simba

Wakati Simba ikiripotiwa kuwa mbioni kumnasa Jonathan Sowah wa Singida Black Stars, Wachambuzi na makocha wa soka wameonyesha wasiwasi juu ya tabia za utovu wa nidhamu kwa nyota huyo ingawa wanaamini ni mshambuliaji sahihi kwa Wekundu hao wa Msimbazi. Sowah ambaye amefunga mabao 13 katika mechi 13 alizoitumikia Singida Black Stars tangu alipojiunga nayo katika…

Read More

Chama apata chimbo jipya Ligi Kuu Bara

KAMA ulikuwa na fikra kwamba Clatous Chama ndio basi tena katika Ligi Kuu Bara, basi pole kwani kiungo mshambuliaji huyo bado yupo sana na msimu ujao anatarajiwa kukiwasha akiwa na chama jipya la Singida Black Stars. Nyota huyo raia wa Zambia aliyekuwa akikipiga Yanga iliyomsajili msimu uliopita akitokea Simba na kumaliza na mabao sita na…

Read More

Watatu waagwa,  kwenda kuliamsha ANOCA Algeria

TANZANIA itawakilishwa na wanamichezo watatu katika mashindano ya kwanza ya Kamati za Olimpiki za Kitaifa za Afrika (ANOCA). Mashindano hayo yatafunguliwa Jumamosi ya Julai 26 huko Algiers, Algeria. Katika mashindano hayo, Tanzania itawakilishwa na wanariadha wawili, Grace Charles na Baraka Sanjigwa sambamba na mchezaji mmoja wa tenisi ya meza, Qutbuddin Taherali. Timu ya riadha itaongozwa na…

Read More