Kundi B linavyoipa matumaini Taifa Stars CHAN 2024

Timu 19 zilizogawanywa katika makundi manne zitashiriki Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani (CHAN) 2024 zitakazofanyika kuanzia Agosti 2 hadi 30 mwaka huu katika nchi za Kenya, Uganda na Tanzania. Kundi A ambalo mechi zake zitachezwa katika nchi ya Kenya, linaundwa na wenyeji, Morocco, Angola, DR Congo na Zambia huku…

Read More

Serikali yapiga marufuku jezi feki CHAN 2024

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imewataka Watanzania kuhakikisha wanavaa jezi sahihi za timu ya taifa ‘Taif Stars’ katika kipindi chote cha Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) zitakazofanyika kuanzia Agosti 2 hadi Agosti 30 mwaka huu katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa…

Read More

Romain Folz rasmi atambulishwa Yanga

Klabu ya Yanga imemtambulisha Romain Folz kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026. Kocha huyo mwenye leseni ya UEFA Pro na CONBEL Pro, ametua Yanga kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Miloud Hamdi aliyetimkia Ismailia ya Misri baada ya kudumu kwa takribani miezi sita na kushinda ubingwa wa Ligi…

Read More

Straika Azam FC awindwa Colombia

TIMU ya Independiente Santa Fe, imeonyesha nia ya kumuhitaji mshambuliaji wa Azam FC raia wa Colombia, Jhonier Blanco kwa ajili ya kukichezea kikosi hicho, ingawa hadi sasa hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa baina ya klabu hizo mbili. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zimeeleza Independiente Santa iliyoanzishwa Februari 28, 1941, Bogota Colombia, ikiwa inashiriki Ligi ya Categoria Primera…

Read More

Ahamada amesepa akiikumbuka Yanga | Mwanaspoti

HATIMAYE kipa Ali Ahamada ambaye alikuwa akiichezea KMC kwa mkopo akitokea Azam FC amefunga ukurasa wake wa kucheza soka la kulipwa nchini baada ya kumaliza mkataba wa miaka mitatu. Ahamada ambaye alikuwa akitajwa kati ya wachezaji ghali zaidi nchini, ameondoka nchini akiacha kumbukumbu mbalimbali, lakini kubwa zaidi kwake ni mechi dhidi ya Yanga iliyochezwa Desemba…

Read More

Pamba Jiji yampa miaka miwili Baraza

UONGOZI wa Pamba Jiji umemalizana na kocha Mkenya Francis Baraza kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili akipishana na Fredy Felix ‘Minziro’ aliyepambana kuibakisha timu hiyo. Baraza ana uzoefu wa soka la Tanzania, kwani amepita Biashara United na Kagera Sugar anatarajia kuwasili nchini Agosti Mosi tayari ya kuanza majukumu ya kuiweka tayari timu hiyo kwa mchaka…

Read More

Pamba, Kadikilo bado kidogo tu

PAMBA Jiji imekamilisha dili la usajili wa beki wa Fountain Gate, Amos Kadikilo, huku kiongozi wa klabu hiyo akifichua kila kitu kilichofanyika hadi sasa. Kikosi hicho cha Pamba kilipanda daraja msimu uliomalizika na kufanikiwa kumaliza nafasi ya 11, ikiwa na pointi 34. Kadikilo aliyewahi kucheza Geita Gold kwa misimu miwili na kuifungia mabao manne kabla…

Read More

Mashujaa yamnasa kiungo wa Kagera

MASHUJAA imefanikiwa kunasa saini ya kiungo wa Kagera Sugar, Samwel Onditi kwa kumpa mkataba wa miaka miwili, mabosi wa klabu hiyo wamethibisha. Onditi aliyekuwa mmoja ya mastaa walioshuka daraja na timu hiyo kutokana na kumaliza nafasi ya 15 katika msimamo wa timu 16 sambamba na KenGold. Kabla ya kuitumikia Kagera, Onditi amewahi kukipiga pia timu…

Read More

Yanga yamuongeza Casemiro kikosini | Mwanaspoti

MABINGWA wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC wamekamilisha usajili wa kiungo mkabaji, Abdulnasir Abdallah ‘Casemiro’ kwa mkataba wa miaka mitatu. Yanga inaendelea kusuka kikosi kwa ajili ya msimu ujao 2025-2026, kwa nia ya kuhakikisha inaendelea pale ilipoishia msimu uliopita 2024-2025 ilipotwaa mataji matano ikiwamo kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la…

Read More