Kocha Mfaransa atua Yanga na jembe jipya

KLABU ya Yanga imeendelea kuboresha benchi lake la ufundi kwa kufanya usajili mwingine muhimu, safari hii ikimleta kocha mkongwe wa makipa kutoka Tunisia, ambaye anatarajiwa kuungana rasmi na Kocha Mkuu, Romain Folz raia wa Ufaransa. Kocha huyo wa makipa anayekuja kuchukua nafasi ya Alae Meskini aliyetimkia AS FAR Rabat ya Morocco tangu Februari 19, 2025,…

Read More

Pazi yaipiga na kitu kizito Mgulani JKT

KIPIGO cha pointi 106-22 kutoka kwa Pazi, kimeifanya Mgulani JKT kujiweka katika wakati mgumu wa kubakia katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) mwakani. Mgulani ilipata kipigo hicho kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga kutokana na kufungwa michezo yote 10 huku ikibakiza mitano. Timu hiyo imekusanya pointi 10 ikiwa ni kutokana na kanuni zinazoipa pointi…

Read More

Stein Warriors yashangaza BDL | Mwanaspoti

ABC iliona joto la kufungwa katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam (BDL), baada ya kuchapwa na Stein Warriors kwa pointi 74-50. Mchezo huo uliokuwa mkali na kusisimua, ulipigwa Jumapili usiku katika Uwanja wa Donbosco, Upanga.  ABC iliyokuwa haijapoteza mchezo wowote kwa michezo saba iliyocheza, katika mchezo wa nane ulikuwa ndiyo mchezo wake wa kwanza…

Read More

Camara bado yupo Simba | Mwanaspoti

BAADA ya tetesi na sintofahamu juu ya hatma yake msimu ujao, kipa namba moja wa kikosi cha Simba, Moussa Camara inadaiwa hivi karibuni atamalizana na mabosi wa timu hiyo kwa kusaini mkataba wa kuendelea kusalia kwenye timu hiyo. Camara ambaye alitua Simba mwanzoni mwa msimu wa 2024-2025, amekuwa kipa chaguo la kwanza kwenye kikosi cha…

Read More

Mkude apata chimbo jipya Ligi Kuu

BAADA ya kuitumikia Yanga kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Simba, inaelezwa kiungo mkabaji Jonas Mkude anaungana na aliyekuwa kocha wake, Miguel Gamodi. Mkude ni sehemu ya nyota waliomaliza mkataba Yanga ulipomalizika msimu wa 2024-2025 huku chanzo cha kuaminika kutoka Singida Black Stars kikiliambia Mwanaspoti kiungo huyo atakuwa sehemu ya kikosi chao msimu ujao. Akizungumza…

Read More

Simba ina vyuma vitatu, hivi hapa!

MABOSI wa Simba wanaendelea kufanya usajili wa mastaa wapya kimya kimya, huku tetesi zikisema hivi sasa imefikia makubaliano kamili ya kumsajili kiungo wa kati raia wa Senegal, Alassane Kante (24) kutoka CA Bizertin ya Tunisia, huku kocha wa kikosi hicho Fadlu Davids akiwa kwenye mazungumzo na viungo wengine wawili. Msenegali huyo ambaye ameitumikia CA Bizertin…

Read More

Hersi apita na mido wa Simba

ULISIKIA lile jina la kiungo Lassine Kouma kutoka Stade Malien? Yule aliyekuwa anawindwa na Simba? Basi Yanga imefanya kama ilivyofanya kwa mastaa wengine. Taarifa zinabainisha imeshapita naye jumlajumla. Simba ilikuwa inampigia hesabu kiungo huyo, ikawa inapambana kuwania saini yake, ikipigania kununua mkataba wake wa mwaka mmoja. Siyo Simba pekee, pia Al Hilal Omdurman ya Sudan,…

Read More

Sowah, Simba ni suala la muda tu, ishu nzima ipo hivi!

SIMBA inaendelea kuimarisha kikosi kimya kimya hii ni baada ya kutajwa kumalizana na Jonathan Sowah kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Singida Black Stars. Sowah aliyekuwa akihusishwa na Yanga kutokana na ubora wake wa kufumania nyavu na baadae Yanga kukamilisha dili la Celestin Ecua na dili lake la kutua Jangwani likafa rasmi. Inadaiwa kuwa, Simba …

Read More

Offen Chikola asaini Yanga, apewa mitatu

YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola. Kwa mujibu wa Yanga, Chikola amejiunga na timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Tabora United. Nyota huyo anakumbukwa na Wananchi kufuatia msimu uliopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara duru la kwanza kufunga…

Read More