Offen Chikola asaini Yanga | Mwanaspoti

YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola. Kwa mujibu wa Yanga, Chikola amejiunga na timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Tabora United. Nyota huyo anakumbukwa na Wananchi kufuatia msimu uliopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara duru la kwanza kufunga…

Read More

Kibano chaja madereva walioshusha watalii kwenye magari hifadhini

Arusha/Dar. Madereva walioshusha watalii kwenye magari eneo la Kogatende, katika Hifadhi ya Taifa Serengeti, ili kushuhudia msafara wa nyumbu, watakabiliwa na mkono wa sheria. Wakati Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) likisema limeshayabaini magari yote yaliyohusika katika kadhia hiyo na hatua kali zimeanza kuchukuliwa dhidi ya waongoza watalii waliohusika, Chama cha Waongoza Watalii Tanzania…

Read More

Kibu bado kidogo Marekani | Mwanaspoti

NDOTO ya mshambuliaji wa Simba SC na Taifa Stars, Kibu Dennis kucheza soka la kulipwa Marekani inakaribia kutimia baada ya klabu ya Nashville kumwongezea wiki ya majaribio kutokana na kile kinachoelezwa ni kivutio kwa makocha wa kikosi hicho. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya karibu na mchezaji huyo, Kibu ambaye yuko Marekani tangu mwisho…

Read More

Kitasa Fountain Gate kuibukia Namungo

UONGOZI wa Namungo, uko katika mazungumzo ya kupata saini ya aliyekuwa beki wa kati wa Fountain Gate, Jackson Shiga, ukiwa ni mwendelezo wa kusuka upya eneo la kujilinda, baada ya kuondoka kwa Erasto Nyoni na Mrundi Derrick Mukombozi. Nyota huyo alijiunga na Fountain Gate dirisha dogo la usajili msimu wa 2024-2025, kwa mkataba wa miezi…

Read More

Metacha, Masalanga waanza mazungumzo mapya Singida BS

MAKIPA waliomaliza mikataba Singida Black Stars, Metacha Mnata na Hussein Masalanga wapo katika mazungumzo mapya na uongozi wa timu hiyo, kama wanaweza wakaendelea nao msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, zinasema: “Tunafanya mazungumzo na makipa hao kwa kumshirikisha Kocha Miguel Gamondi, kama tutafikia nao muafaka basi tutawaongezea mikataba. “Ni makipa wazuri…

Read More

Williamu atamba kushika nafasi ya kwanza

Wakati mchuano mkali wa ufungaji ukiendelea katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam (BDL) kwa upande wachezaji wazawa,  Isaya Williamu wa DB Oratory ndiye mchezaji pekee  anayechuana vikali na wa kigeni. Mchezaji huyo anayecheza nafasi ya namba 2 ‘Shooting Guard’ anashika nafasi ya pili  kwa kufunga pointi 201,  huku ya kwanza ikishikwa na Mkongo Ntibonela…

Read More

Usipojipanga BDL utapigwa mapema | Mwanaspoti

LIGI ya kikapu Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL), inazidi kuwa tamu na huku ukizubaa tu unapigwa mapema. Baadhi ya timu zimejikuta haziamini kilichowakuta ikiwa ni mzunguko wa 10 umeanza na zilipoteza michezo yao katika ligi hii inayokua kwa kasi. DB Lioness  ilifungwa na Polisi Stars kwa pointi 58-55, Vijana Queens ikafungwa DB Troncatti pointi…

Read More