Williamu atamba kushika nafasi ya kwanza

Wakati mchuano mkali wa ufungaji ukiendelea katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam (BDL) kwa upande wachezaji wazawa,  Isaya Williamu wa DB Oratory ndiye mchezaji pekee  anayechuana vikali na wa kigeni. Mchezaji huyo anayecheza nafasi ya namba 2 ‘Shooting Guard’ anashika nafasi ya pili  kwa kufunga pointi 201,  huku ya kwanza ikishikwa na Mkongo Ntibonela…

Read More

Usipojipanga BDL utapigwa mapema | Mwanaspoti

LIGI ya kikapu Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL), inazidi kuwa tamu na huku ukizubaa tu unapigwa mapema. Baadhi ya timu zimejikuta haziamini kilichowakuta ikiwa ni mzunguko wa 10 umeanza na zilipoteza michezo yao katika ligi hii inayokua kwa kasi. DB Lioness  ilifungwa na Polisi Stars kwa pointi 58-55, Vijana Queens ikafungwa DB Troncatti pointi…

Read More

Mudathir aongeza salio Jangwani hadi 2027

Hatimaye kiungo Mzanzibar, Mudathir Yahya Abbas amemaliza utata wa wapi atacheza msimu ujao wa 2025-2026. Kwa taarifa rasmi ni kwamba, Mudathir ataendelea kuwa kwenye kikosi cha Wananchi hadi mwaka 2027. Hiyo ni baada ya kiungo huyo kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusali katika kikosi hicho cha Yanga baada ya ule kumalizika mwisho wa msimu…

Read More

Mudathir amaliza utata, atakuwepo Jangwani hadi 2027

Hatimaye kiungo Mzanzibar, Mudathir Yahya Abbas amemaliza utata wa wapi atacheza msimu ujao wa 2025-2026. Kwa taarifa rasmi ni kwamba, Mudathir ataendelea kuwa kwenye kikosi cha Wananchi hadi mwaka 2027. Hiyo ni baada ya kiungo huyo kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusali katika kikosi hicho cha Yanga baada ya ule kumalizika mwisho wa msimu…

Read More

Mudathir amaliza utata, atakuwepo Jangwani hadi 2027

Hatimaye kiungo Mzanzibar, Mudathir Yahya Abbas amemaliza utata wa wapi atacheza msimu ujao wa 2025-2026. Kwa taarifa rasmi ni kwamba, Mudathir ataendelea kuwa kwenye kikosi cha Wananchi hadi mwaka 2027. Hiyo ni baada ya kiungo huyo kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusali katika kikosi hicho cha Yanga baada ya ule kumalizika mwisho wa msimu…

Read More

Helabet: Kampuni bora ya ubashiri Tanzania

Kuna kampuni nyingi za ubashiri ambazo zinatoa huduma Tanznaia, lakini ni kampuni moja pkee ambayo inaaminika kwa asilimia 100. Hii ndiyo maana Helabet inaamini kuwa ni Helabet ina leseni kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania Helabet ni kampuni inayofanya kazi kisheria Tanzania na imesajiliwa na kupewa leseni na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania…

Read More

‘Mzee wa kupeana’ afunguka dili la Rivers

ALIYEKUWA kipa wa  Fountain Gate FC, John Noble amerudi rasmi kwenye Ligi Kuu ya Nigeria (NPFL) baada ya kujiunga na Rivers United kwa uhamisho huru baada ya kumalizika kwa mkataba wake. Noble, mwenye umri wa miaka 32, ni jina linalofahamika kwenye soka la Nigeria, hasa kwa mchango wake akiwa Enyimba FC mabingwa wa NPFL mara…

Read More

Nahimana aongeza mwaka Namungo | Mwanaspoti

MABOSI wa Namungo wanaendelea na maboresho ya kikosi hicho na licha ya kuendelea kuzungumza na wachezaji wapya, wamemwongezea mkataba wa mwaka mmoja kipa Jonathan Nahimana raia wa Burundi. Kigogo mmoja wa Namungo aliliambia Mwanaspoti Nahimana alimaliza mkataba, lakini ripoti ya makocha walioondoka, Juma Mgunda na msaidizi wake, Shadrack Nsajigwa ilipendekeza kumbakiza kipa huyo ambaye msimu…

Read More

Kibwana amtaja Maxi Yanga | Mwanaspoti

BEKI wa pembeni wa Yanga, Kibwana Shomari amemtaja winga Maxi Nzengeli ni moja ya wachezaji wenye utimamu bora katika kikosi hicho na siyo rahisi kukabika. Licha ya kwamba wanacheza timu moja, lakini ni miongoni mwa wakezaji ambao wakikutana mazoezini sio rahisi kumkaba na anamkubali kutokana na kupenda kazi anayoifanya. “Unajua Yanga ni timu bora na…

Read More

Jarjou aandaliwa nyumba, gari Singida Black Stars

WINGA wa kimataifa raia wa Gambia na Senegal, Lamine Diadhiou Jarjou ameandaliwa nyumba ya kishua pamoja na gari binafsi na Singida BS mara baada ya kufikia makubaliano ya kujiunga nayo kwa mkataba wa miaka miwili. Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka katika klabu hiyo, mpango wa kumpatia Jarjou nyumba ya kishua na usafiri atakaokuwa…

Read More