Hamad Majimengi anukia Mbeya City

MABOSI wa Mbeya City wanasuka kikosi hicho kimyakimya kwa ajili ya kuleta ushindani msimu ujao wa 2025-2026 na kwa sasa wako katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa winga mshambuliaji wa Pamba Jiji, Hamad Majimengi. Nyota huyo aliyejiunga na Pamba kwa mkopo katika dirisha dogo la Januari 2025, akitokea Singida Black Stars, sio…

Read More

Offen Chikola ni Mwananchi | Mwanaspoti

YANGA kumtangaza kiungo mshambuliaji Offen Chikola aliyesaini miaka miwili ni suala la muda tu, kwani ipo  hatua ya mwisho kukamilisha vitu vilivyokuwa vimesalia. Yanga imemsajili Chikola akitokea Tabora United na ilizishinda Simba, Azam FC na Namungo ambazo zilikuwa zinawania saini yake, mchezaji huyo msimu uliyoisha alimaliza na mabao saba na asisti mbili. Chanzo cha ndani…

Read More

Aucho, Simba kuna jambo | Mwanaspoti

SIMBA ambayo imeshaondokewa na wachezaji tisa wakiwamo wanne wa kimataifa na watano wazawa walioiotumikia msimu uliopita, inaendelea kujitafuta kwa kujipanga kimyakimya kwa kusainisha nyota kadhaa inayosubiri kuwatangaza hivi karibuni. Simba iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu na kufika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ikipoteza kwa mabao 3-1 mbele ya RS Berkane ya Morocco,…

Read More

Kumekucha… Simba yashusha mrithi Tshabalala

NI kama vile mabosi wa Simba sasa wameamua kujibu kwa vitendo baada ya kuwepo kwa kelele nyingi mtandaoni juu ya kushindwa kufanya usajili na badala yake kutoa ‘thank you’ tu kwa waliokuwa nyota wa timu hiyo, kwa kumshusha beki wa kushoto wa kurithi nafasi ya Mohammed Hussein ‘Tshabalala’. Tshabalala aliyedumu Msimbazi kwa muda wa miaka…

Read More

Wananchi kuchangishana fedha kujenga shule

Simiyu. Wananchi wa Kijiji cha Nyashimba, Kata ya Ng’higwa, Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, wameamua kuchukua hatua ya kujenga shule ya sekondari baada ya kilio cha muda mrefu kuhusu watoto wao kutembea umbali mrefu kufuata shule. Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wazazi na walezi waliokuwa wakilalamikia wanafunzi wanaomaliza elimu ya…

Read More

Gibril Sillah aipiga chenga Yanga

LICHA ya kuhusishwa kukaribia kujiunga na Yanga, aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah ameitosa ofa ya timu hiyo na kwa sasa inadaiwa amemalizana na matajiri wa Algeria, ES Setif FC na kusaini mkataba wa miaka miwili. Nyota huyo aliyehusika na mabao 13, ya Ligi Kuu msimu wa 2024-2025 akiwa na Azam, baada ya…

Read More

Kocha mpya Yanga aleta straika mwingine

KABLA hata hajatambulishwa wala kugusa uwanja wa mazoezi, kocha mpya wa Yanga, Romain Folz ametoa maagizo mazito ya kutaka asajiliwe straika mmoja wa mabao. Kocha Folz ndiye anayetajwa kuwa mrithi wa Miloud Hamdi aliyetimkia Ismailia ya Misri na kilichobaki ni kutangazwa tu. Hata hivyo, wakati anajiandaa kitangazwa ikielezwa tayari ameshasaini mkataba, kocha huyo amewaambia mabosi…

Read More

Waarabu wapiga kambi Singida Black Stars

WAKATI kiungo wa Singida Black Stars raia wa Ivory Coast, Josaphat Arthur Bada akidaiwa kukaribia kujiunga na JS Kabylie ya Algeria, nyota mwingine wa timu hiyo pia, Marouf Tchakei anawindwa na Ismaily SC ya Misri ili kuichezea msimu ujao. Taarifa ambazo Mwanaspoti lilizipata, zinaeleza Tchakei raia wa Togo ni chaguo la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi…

Read More

Winga teleza azitia vitani Pamba Jiji, Mtibwa Sugar

Mtibwa Sugar imeingilia dili la kumpata winga mshambuliaji wa Kagera Sugar, Erick Mwijage, baada ya nyota huyo kufikia makubaliano ya masilahi binafsi ya kujiunga na Pamba Jiji ya jijini Mwanza, kabla ya waajiri wake kuweka ngumu. Nyota huyo alifikia makubaliano ya kujiunga na Pamba kwa mkataba wa mwaka mmoja, ingawa nyota huyo alikuwa na kandarasi…

Read More

Msaidizi wa Fadlu ajiondoa Simba

WAKATI Simba ikiendelea kutangaza orodha ya wachezaji watakaokuwa nje ya hesabu za timu hiyo kwa msimu ujao wakiwapa ‘Thank You’, kuna msaidizi mmoja wa kocha Fadlu Davids amejiondoa ghafla. Aliyetangaza kujiondoa ni mtaalam wa takwimu za wachezaji, Culvin Mavunga aliyetangaza kuondoka ndani ya timu hiyo. Mavunga aliyefanya kazi kwa miaka mitano Simba akitokea kwao Zimbabwe,…

Read More