Waarabu wapiga kambi Singida Black Stars

WAKATI kiungo wa Singida Black Stars raia wa Ivory Coast, Josaphat Arthur Bada akidaiwa kukaribia kujiunga na JS Kabylie ya Algeria, nyota mwingine wa timu hiyo pia, Marouf Tchakei anawindwa na Ismaily SC ya Misri ili kuichezea msimu ujao. Taarifa ambazo Mwanaspoti lilizipata, zinaeleza Tchakei raia wa Togo ni chaguo la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi…

Read More

Winga teleza azitia vitani Pamba Jiji, Mtibwa Sugar

Mtibwa Sugar imeingilia dili la kumpata winga mshambuliaji wa Kagera Sugar, Erick Mwijage, baada ya nyota huyo kufikia makubaliano ya masilahi binafsi ya kujiunga na Pamba Jiji ya jijini Mwanza, kabla ya waajiri wake kuweka ngumu. Nyota huyo alifikia makubaliano ya kujiunga na Pamba kwa mkataba wa mwaka mmoja, ingawa nyota huyo alikuwa na kandarasi…

Read More

Msaidizi wa Fadlu ajiondoa Simba

WAKATI Simba ikiendelea kutangaza orodha ya wachezaji watakaokuwa nje ya hesabu za timu hiyo kwa msimu ujao wakiwapa ‘Thank You’, kuna msaidizi mmoja wa kocha Fadlu Davids amejiondoa ghafla. Aliyetangaza kujiondoa ni mtaalam wa takwimu za wachezaji, Culvin Mavunga aliyetangaza kuondoka ndani ya timu hiyo. Mavunga aliyefanya kazi kwa miaka mitano Simba akitokea kwao Zimbabwe,…

Read More

Marcio Maximo arejea Ligi Kuu Bara

UNAMKUMBUKA yule kocha aliyeiwezesha Tanzania kushiriki fainali za kwanza za CHAN 2009 zilizofanyikia Ivory Coast na aliyeifanya timu ya taifa, Taifa Stars kupendwa na mashabiki nchini kote kutokana na amshaamsha zake? Basi kama hujui, kocha huyo Marcio Maximo anarejea tena nchini kwa mara…

Read More

Netanyahu hoi baada ya kula chakula kibovu

Tel Aviv. Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu imesema kiongozi huyo kwa sasa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika na uvimbe wa utumbo uliotokana na kula chakula kibovu. Kwa mujibu wa taarifa ya jana Jumapili Julai 20, 2025, Netanyahu alianza kujisikia mgonjwa juzi usiku ambapo alichunguzwa nyumbani kwake na Dk Alon Hershko, mkurugenzi wa…

Read More

Harambee Stars yachomoa Cecafa 4 Nations, tatu zikiendelea

Timu ya taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’, imejitoa katika mashindano maalum yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) ambayo yalitarajiwa kuanza hii leo kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu yakihususha timu nne. Taarifa hiyo imetolewa na Shirikisho la Kenya (KFK) iliyochapisha taarifa kwa umma kupitia ukurasa wake rasmi wa kijamii wa…

Read More

‘Kila la kheri, hatukudai’ maneno ya mwisho kwa Zimbwe Msimbazi

KITENDO kilichofanywa na aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kuwaaga wanachama na mashabiki wa timu hiyo aliyoitumikia kwa miaka 11 kimeibua hisia za mashabiki hao na mastaa mbalimbali waliomtakia kila la kheri. Usiku wa kuamkia jana Tshabalala amewaaga wanasimba kuwa hatakuwa sehemu ya timu hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 11, ndipo walipoivamia akaunti yake…

Read More

Netanyahu hoi baada ya kula chakula chenye sumu

Tel Aviv. Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu imesema kiongozi huyo kwa sasa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika na uvimbe wa utumbo uliotokana na kula chakula chenye sumu. Kwa mujibu wa taarifa ya jana Jumapili Julai 20, 2025, Netanyahu alianza kujisikia mgonjwa juzi usiku ambapo alichunguzwa nyumbani kwake na Dk Alon Hershko, mkurugenzi…

Read More

Kennedy aongezwa mtu Singida | Mwanaspoti

UONGOZI wa Singida Black Stars, umemwongezea nguvu nahodha wa klabu hiyo, Kennedy Juma baada ya kuwa kwenye hatua ya mwisho kukamilisha usajili wa Vedastus Msinde. Msinde alikuwa beki wa kati wa TMA inayoshiriki Championship na sasa ameitwa kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachojiandaa na michuano ya CHAN mwaka huu. Chanzo cha…

Read More

Zubery Katwila awindwa Coastal Union

UONGOZI wa Coastal Union, umeanza mazungumzo ya kuipata saini ya aliyekuwa Kocha wa Bigman FC, Zubery Katwila kwa ajili ya kukiongoza kikosi hicho msimu ujao, akienda kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Juma Mwambusi aliyeondoka. Mwambusi aliyezifundisha Mbeya City, Yanga na Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars, aliyejiunga rasmi na Coastal Oktoba 23, 2024,…

Read More