Hassan Kibailo mbioni kutua Pamba Jiji

Pamba Jiji inafanya mazungumzo ya kumrejesha aliyekuwa beki wa kulia wa kikosi hicho, Hassan Kibailo, baada ya nyota huyo kudaiwa hayupo tayari kuendelea kuichezea Namungo na anaangalia sehemu ya kupata changamoto nyingine mpya. Kibailo ni miongoni mwa nyota waliotokea mtaani na soka lake alilianzia huko katika timu ya Pasias Boys ‘Juma Kampong’ ya jijini Mwanza…

Read More

Mabula aanza rasmi Ligi Kuu Azerbaijan

KIUNGO Alphonce Mabula wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan amesema sasa anaanza kazi rasmi baada ya kupata uzoefu wa kucheza ligi hiyo, tangu alipojiunga nayo dirisha dogo la msimu uliopita na kucheza miezi sita. Mabula ambaye alijiunga na Shamakhi akitokea FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu ya Serbia alikocheza kwa misimu miwili, aliliambia…

Read More

Dili la Mghana Tabora lakwama

DILI la beki wa kushoto wa Bibiani Gold Stars FC, Mghana William Ntori Dankyi kujiunga na Tabora United huenda likakwama rasmi, baada ya kudaiwa nyota huyo ameingiwa na tamaa ya kuhitaji kiasi kikubwa cha fedha tofauti na walivyokubaliana. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata kutoka uongozi wa timu hiyo, zimeliambia beki huyo aliyezaliwa Septemba 4, 1999, ni…

Read More

Nestory Irankunda kukipiga England | Mwanaspoti

Mkurugenzi wa Watford, Gian Luca amesema kumpata nyota mwenye asili ya Kitanzania, Nestory Irankunda ni baada ya uhitaji wake kikosini hapo. Watford inayoshiriki Ligi ya Daraja la Kwanza England, imekamilisha usajili wa winga huyo kutoka Bayern Munich kwa mkataba wa miaka mitano kwa ada ambayo haijawekwa wazi. Luca alisema kocha wa kikosi hicho, Pezzolano alikuwa…

Read More

Namungo yambeba Haaland | Mwanaspoti

NAMUNGO imeendelea kusuka kikosi kwa kumalizana na aliyekuwa mshambuliaji wa TMA, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ kwa mkataba wa miaka miwili. Mshambuliaji huyo amejiunga akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na TMA aliyoifungia mabao 18 msimu uliomalizika hivi karibuni na Mtibwa Sugar ikitwaa ubingwa wa Championship na kupanda daraja. Akizungumza na Mwanaspoti, aliyekuwa kocha wa mshambuliaji…

Read More

Mabosi Simba washtuka! | Mwanaspoti

MABOSI wa Simba wameshtuka. Baada ya kushindwa kumnasa Balla Mousa Conte, kisha kumpoteza beki wa kushoto, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ anayedaiwa kusajiliwa Yanga kwa mkataba wa miaka miwili, kumewafanya wazinduke na kuanza kufanya mambo yao kimyakimya. Simba iliyoanza kumfukuzia Bella Conte, ilijikuta ikipigwa bao…

Read More

Madina anoa makali kutetea taji Uganda

BAADA ya kushinda michuano mikubwa ya gofu ya wanawake Zambia na Ghana, Mtanzania Madina Iddi amenza rasmi maandalizi ya kutetea ubingwa wake wa John Walker Uganda Ladies Open kabla ya michuano kuanza mapema mwezi ujao, mjini Entebbe. Agosti mwaka jana, Madina Iddi alishinda michuano mikubwa ya wanawake Uganda akianza na Uganda Ladies Open jijini Kampala …

Read More

Bao la Mzize bado lamliza Chalamanda

KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amekiri licha ya kufungwa mabao kibao msimu uliopita, lakini bado anateswa na lile alilotunguliwa na straika wa Yanga, Clement Mzize na ndilo lililokuwa bora kufungwa na lilimshangaza na kumuuzia hadi leo. Chalamanda ambaye ameitumikia Kagera kwa miaka minane mfululizo, ni miongoni mwa makipa wanaoongoza kwa kuokoa akifanya hivyo mara…

Read More