Buzungu mbioni kurejea Mtibwa Sugar
KIUNGO wa Kagera Sugar, Omary Buzungu ameuomba uongozi wa timu hiyo umruhusu arejee Mtibwa Sugar baada ya kikosi cha ‘Wanankurukumbi’ kushuka daraja ikiwa ni miezi sita tangu nyota huyo alipojiunga nacho wakati wa dirisha dogo la Januari, mwaka huu. Nyota huyo alijiunga na Kagera Sugar katika dirisha dogo la Januari 2025 akiwa ni pendekezo la…