Mabosi Simba washtuka! | Mwanaspoti

MABOSI wa Simba wameshtuka. Baada ya kushindwa kumnasa Balla Mousa Conte, kisha kumpoteza beki wa kushoto, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ anayedaiwa kusajiliwa Yanga kwa mkataba wa miaka miwili, kumewafanya wazinduke na kuanza kufanya mambo yao kimyakimya. Simba iliyoanza kumfukuzia Bella Conte, ilijikuta ikipigwa bao…

Read More

Madina anoa makali kutetea taji Uganda

BAADA ya kushinda michuano mikubwa ya gofu ya wanawake Zambia na Ghana, Mtanzania Madina Iddi amenza rasmi maandalizi ya kutetea ubingwa wake wa John Walker Uganda Ladies Open kabla ya michuano kuanza mapema mwezi ujao, mjini Entebbe. Agosti mwaka jana, Madina Iddi alishinda michuano mikubwa ya wanawake Uganda akianza na Uganda Ladies Open jijini Kampala …

Read More

Bao la Mzize bado lamliza Chalamanda

KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amekiri licha ya kufungwa mabao kibao msimu uliopita, lakini bado anateswa na lile alilotunguliwa na straika wa Yanga, Clement Mzize na ndilo lililokuwa bora kufungwa na lilimshangaza na kumuuzia hadi leo. Chalamanda ambaye ameitumikia Kagera kwa miaka minane mfululizo, ni miongoni mwa makipa wanaoongoza kwa kuokoa akifanya hivyo mara…

Read More

Mourice Sichone asalia Zambia | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Trident FC, Mourice Sichone amesema ataendelea kusalia kikosini hapo kumalizia mkataba wake wa miezi minane iliyobaki. Katika nusu msimu aliocheza, kinda huyo (17), ukiwa ni wa kwanza kwake kukitumikia kikosi hicho, alicheza mechi 18, akifunga mabao sita na kutoa asisti nane. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema alipata ofa kutoka timu mojawapo ya Ligi…

Read More

Nahdi afunika mbio za magari Mount Uluguru

DEREVA Waleed Nahdi ametoa onyo kwa  wapinzani wake, baada ya kushinda mbio fupi  za magari za Mount Uluguru Auto Sprint zilizochezwa mwishoni mwa juma, mjini Morogoro. Akiendesha gari aina ya Subaru Impreza N11, Nahdi aliibuka mshindi baada ya kuwashinda kasi madereva wote akitumia dakika 4:23:25. “Kwangu, mbio hizi ni maandalizi kwa ajili ya ubingwa wa…

Read More

Geita, Mwanza vita nzito Kanda ya Ziwa

MCHEZO wa kriketi umetinga Kanda ya Ziwa kwa kishindo na kushuhudia Kombaini ya Geita ikishinda kwa wiketi nane dhidi ya Mwanza Kombaini, mwishoni mwa juma. Michuano hiyo inayojulikana kama TCA  Inter-Academy League 2025 – Group 3 ilifanyika jijini Mwanza, Jumamosi na Mwanza Kombaini…

Read More

Hawa wanambana Raheem KMC | Mwanaspoti

WIKI iliyopita, beki wa Kitanzania, Raheem Shomari alitambulishwa kwenye kikosi cha Ghazl El Mahalla ya Ligi Kuu ya Misri kwa mkataba wa miaka mitatu. Raheem anajiunga na timu hiyo ambayo aliwahi kuichezea Mtanzania mwenzake, Himid Mao, ambaye alicheza kwa kiwango kikubwa. Kwenye eneo la beki wa kushoto atakalocheza nyota huyo wa zamani wa KMC, kuna…

Read More

Chan yaingilia uchaguzi TFF | Mwanaspoti

UCHAGUZI Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) uliopangwa kufanyika Agosti 18 mwaka huu, huenda ukapigwa kalenda kutokana na uwepo wa michuano ya CHAN 2024. Tanzania ni nchi mwenyeji wa michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Agosti 2, 2025 kwa kushirikiana na Kenya na Uganda ambapo tamati yake ni Agosti 30, 2025. Katika michuano hiyo, mechi ya…

Read More