JKU Academy yaisulubu Al Qaida Yamle Yamle Cup

MICHUANO ya Yamle Yamle Cup inayoendelea kuchezwa Uwanja wa Mao A na B kisiwani Unguja, ipo mzunguko wa pili ambapo imeshuhudiwa jana Ijumaa Julai 18, 2025, JKU Academy ikichomoza na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Al Qaida ukiwa ni mchezo wa Kundi B. JKU Academy imepata ushindi huo wa pili mfululizo na kuongoza…

Read More

Kasi ujenzi Uwanja wa AFCON Arusha yamkosha Mwana FA

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Hamis Mwinjuma ameipongeza Kampuni ya CRCEG ya kutoka nchini China ambayo inajenga uwanja wa mpira wa miguu jijini Arusha utakaotumika kwa michuano ya AFCON 2027 kwa kuweza kujenga uwanja huo kwa kasi na viwango vya hali ya juu. Akizungunza mwishoni mwa wiki wakati wa halfa ya kumalizika kwa…

Read More

Simba yafuata kiungo Mali | Mwanaspoti

KATIKA kuimarisha eneo la kiungo, Simba imeanza harakati mapema za kulijenga eneo hilo ambalo tayari kuna nyota wanne wameshaondoka baada ya msimu wa 2024-2025 kumalizika. Katika hilo, klabu hiyo haijakubali unyonge, kwani mabosi wa Simba wako kwenye mazungumzo na Stade Malien ya Mali, ikimtaka Lassine Kouma. Kouma ambaye anacheza nafasi ya kiungo mshambuliaji, Simba inapambana…

Read More

ZIMBWE ATOA THANK YOU SIMBA SC

ALIYEKUWA Nahodha Klabu ya Simba Mohammed Hussein ameachana na timu yake mara baada ya kuwaaga kupitia mitandao yake ya kijamii ambapo mkataba wake na wekundi wa msimbazi kufika tamati mwezi Juni mwaka huu. Zimbwe mpaka sasa yupo huru kutafuta changamoto katika timu yoyote ambayo watafikia makubaliano. Tetesi zinasemekana anahitajika na wanajangwani kwaajili ya kuwatumikia.

Read More

Tshabalala aaga rasmi Simba, Yanga yatajwa kumalizana naye

BEKI wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ sio tu kumaliza mkataba wake kikosini hapo, pia ameiaga rasmi akionyesha hataendelea na Wekundu hao, huku watani zao wa jadi, Yanga wakitajwa kumalizana naye. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Tshabalala ambaye alikuwa nahodha wa Simba, ameandika: “Takribani miaka 11 ya furaha, huzuni, shangwe, vifijo, nderemo na masikitiko ndani ya…

Read More

Maxime amalizana na Dodoma Jiji, Anicet anahesabu siku

RASMI Dodoma Jiji imemalizana na makocha wake walioisimamia timu hiyo msimu uliopita, ikiwakabidhi barua za kuhitimisha mikataba yao kwa makubaliano ya pande mbili akiwamo aliyekuwa kocha mkuu, Mecky Maxime. Dodoma Jiji imefikia uamuzi huo baada ya Maxime kuifundisha kwa msimu mmoja tu ikimaliza katika nafasi ya 12 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara huku kocha…

Read More