Maxime amalizana na Dodoma Jiji, Anicet anahesabu siku

RASMI Dodoma Jiji imemalizana na makocha wake walioisimamia timu hiyo msimu uliopita, ikiwakabidhi barua za kuhitimisha mikataba yao kwa makubaliano ya pande mbili akiwamo aliyekuwa kocha mkuu, Mecky Maxime. Dodoma Jiji imefikia uamuzi huo baada ya Maxime kuifundisha kwa msimu mmoja tu ikimaliza katika nafasi ya 12 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara huku kocha…

Read More

Simba yamuuza Che Malone | Mwanaspoti

NI rasmi sasa Che Malone Fondoh hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba msimu ujao, hii ni baada uongozi wa timu hiyo kukamilisha biashara ya kumuuza kwa timu iliyotuma ofa ya kumuhitaji mwishoni mwa msimu uliomalizika. Che Malone, alitua Msimbazi misimu miwili iliyopita akitokea Coton Sport…

Read More

Mhagama atishia kibarua cha Mkongomani Dodoma Jiji

KIPA wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka huenda asiwe tena sehemu ya kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao, baada ya ujio wa Castor Mhagama kutoka KenGold, huku ikielezwa kuwa ishu ya nidhamu inaweza pia kuchangia kuondolewa kikosini. Hivi karibuni, nyota huyo alisimamishwa katika timu hiyo kwa tuhuma za utovu wa nidhamu, ingawa taarifa ambazo…

Read More

Prisons yampigia hesabu Haule | Mwanaspoti

UONGOZI wa maafande wa Tanzania Prisons, unafikiria kumrejesha aliyekuwa kipa wa kikosi hicho, Benedict Haule, baada ya kutokuwa na nafasi ya kucheza mara kwa mara katika timu ya Singida Black Stars kutokana na ushindani mkubwa uliokuwapo. Haule aliyejiunga na Singida Black Stars Julai Mosi 2024, akitokea Tanzania Prisons aliyoichezea kwa mkopo kutokea Azam FC, anahitajika…

Read More

Makaka yupo freshi, asikilizia simu tu!

BAADA ya kukosekana uwanjani msimu uliopita, kipa Mohamed Makaka amesema kwa sasa yupo tayari kukipiga popote, akieleza kuwa uwezo na uzoefu alionao timu yoyote namba ni uhakika. Makaka aliyewahi kukipiga timu kadhaa ikiwamo Stand United na Gwambina, msimu uliopita alijikuta nje ya uwanja baada ya kuumia goti alipokuwa akikiwasha Mtibwa Sugar aliyoshuka nayo daraja. Staa…

Read More

Prisons yavunja benki kumrudisha Ahmad Ally

TANZANIA Prisons imeamua kuvunja benki kumpata kocha mkuu atakayeinoa timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao, huku ikisisitiza kuwa presha iliyokutana nayo, haitarajii ijitokeze tena kwa misimu ijayo, huku jina la kocha wa zamani wa timu hiyo, Ahmad Ally aliyekuwa JKT Tanzania akitajwa. Timu hiyo ambayo msimu uliopita ilinusurika kushuka daraja kupitia mechi za ‘playoffs’…

Read More

Coastal yashtuka, yasimamisha usajili | Mwanaspoti

WAKATI klabu nyingine zikiendelea kuchangamkia mchakato wa usajili, Coastal Union imeshtukia kitu, imeamua kwanza kuanza na msako wa kocha kabla ya kuanza kushusha mastaa wapya. Wagosi hao walimaliza msimu katika nafasi ya nane kwa kukusanya pointi 35, wakishinda mechi nane, sare 11 na kupoteza 11. Taarifa za ndani ya klabu hiyo zililiambia Mwanaspoti kuwa, bado…

Read More

Pogba wa Zenji, Simba mambo sio freshi

BAADA ya Simba kushindwa kukamilisha mchakato wa kumsajili kiungo wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’, mchezaji huyo yupo katika hatua za mwisho kumalizana na Tabora United. Simba ilionyesha nia ya kunasa saini ya kiungo huyo aliyecheza mechi zote 30 msimu huu akiwa na Mlandege iliyotwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na kufikia hatua ya kumtumia…

Read More

Singida, Manyama waachana freshi | Mwanaspoti

UONGOZI wa Singida Black Stars umefikia makubaliano ya kuachana na kiraka, Edward Charles Manyama baada ya kuitumikia kwa msimu mmoja. Manyama alijiunga na Singida BS msimu uliomalizika kwa mkataba wa miaka miwili akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Azam FC. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Singida Black Stars kimeliambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Jabir katikati ya Namungo, Mbeya City

MSHAMBULIAJI huru Anuary Jabir, imeziingiza vitani timu tatu kuwania saini yake kwa ajili ya msimu ujao ambazo ni Namungo, Dodoma Jiji na Mbeya City kati ya hizo itakayokuwa na ofa nono itafanikiwa kupata huduma yake. Jabir msimu uliyoisha alikuwa na Mtibwa Sugar iliyopanda daraja kucheza Ligi Kuu 2025/26, kiwango alichokionyesha kimezivutia timu hizo kuhitaji huduma…

Read More