Mzimbabwe anukia Yanga, Mbaga akiaga

ALIYEKUWA Kocha wa utimamu wa mwili wa Yanga Princess, Alli Mbaga ameaga rasmi kwenye kikosi hicho baada ya mkataba wake kumalizika na inaelezwa viongozi wa timu wameanza mazungumzo na Mzimbabwe Brenda Chaoor. Brenda, ambaye aliwahi kuzifundisha Simba Queens kabla ya kutimkia Fountain Gate Princess ambako alihudumu kwa msimu mmoja. Sasa inaelezwa kuwa anatajwa Jangwani na…

Read More

Najim Mussa kuibukia Pamba Jiji

KIUNGO mshambuliaji Najim Mussa aliyekuwa anaichezea Namungo kwa mkopo akitokea Singida Black Stars, anakaribia kujiunga na Pamba Jiji, baada ya nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza kuonekana finyu kwa msimu ujao. Staa huyo aliyejiunga na Namungo dirisha dogo la Januari 2025, amemaliza mkataba wake wa mkopo na timu hiyo na sasa mabosi wa Pamba wanampigia…

Read More

Kocha mpya Yanga anataka bao tano!

VIONGOZI wa Yanga wamepanga Jumapili hii kuanza msimu mpya kwa kutambulisha benchi jipya la ufundi kisha kutangaza mastaa waliopewa ‘thank you’ na kumalizia wapya waliosajiliwa kabla ya timu kuanza kambi. Lakini Kocha mpya anayetajwa kumalizana na timu hiyo, Romain Folz amezungumza kitu cha…

Read More

Simba SC yamfuata straika Cameroon

KUNA mazungumzo yanafanyika baina ya viongozi wa Simba na mshambuliaji wa klabu maarufu ya Coton Sport FC de Garoua tayari kuvaa uzi mwekundu msimu ujao. Mwanaspoti limepata taarifa kutoka chanzo cha ndani cha klabu hiyo, kuhusu uwepo wa mazungumzo ya John Bosco Nchindo…

Read More

Ngassa awataja Mpanzu, Pacome | Mwanaspoti

KIUNGO aliyemaliza mkataba Tanzania Prisons, Berno Ngassa amewataja wachezaji wanne aliyokuwa anawatazama kama mfano wa kuigwa wanavyocheza kimbinu na akili msimu uliyopita. Ngassa ambaye msimu uliyopita alimaliza na mabao manne na asisti moja alisema kutoka Prisons Haruni Chango (mabao manne, asisti moja) wa Yanga Maxi Nzengeli (mabao sita sita, asisti 10),  Pacome Zouzoua (mabao 12,…

Read More

Mnigeria ataka Sh250 milioni atue Tabora United

WAKATI Tabora United ikiwa katika mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji wa Nasarawa United, Mnigeria Anas Opkadibu Yusuf Ayitonu, klabu hiyo inatakiwa kulipa kiasi cha Sh250 milioni ili kuipata saini ya mfungaji huyo bora wa Ligi Kuu ya Nigeria. Anas aliyezaliwa Aprili 9, 1998, alikuwa ni mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Nigeria (NPFL) kwa msimu wa…

Read More

Mashujaa kunoa makali Arachuga | Mwanaspoti

WAKATI timu zikisaka maeneo ya kwenda kufanya maandalizi kwa ajili ya msimu ujao, kikosi cha Mashujaa mapema imeshajua ni wapi itakwenda kuweka kambi yake. Akizungumza na Mwanaspoti alisema mmoja wa viongozi wa klabu hiyo alisema, zipo sababu kama mbili ambazo zimewafanya waichague Arusha kama sehemu ya maandalizi yao. “Tumekubaliana kwenda Arusha kwa ajili ya kambi…

Read More

Mcameroon awindwa Tabora United | Mwanaspoti

WAKATI Dodoma Jiji ikidaiwa kumalizana na aliyekuwa kiungo wa Tabora United, Mkongomani Nelson Munganga, mabosi wa timu hiyo wameanza harakati za kusaka mbadala wake, ambapo imetua kwa Mcameroon, Palai Mba Manjie ili kurithi mikoba yake. Manjie anayeichezea Victoria United ya Cameroon kwa sasa, inadaiwa wawakilishi wa mchezaji huyo wametua tayari jijini Dar es Salaam, kwa…

Read More

Straika wa mabao anukia Dodoma Jiji

UONGOZI wa Dodoma Jiji unaendelea na maboresho ya nyota wapya ndani ya kikosi hicho na kwa sasa umeanza mazungumzo ya kupata saini ya mshambuliaji wa Fountain Gate, Edgar William, huku akiwa tayari amewekewa mkataba wa miaka miwili. Nyota huyo aliyeichezea Fountain Gate kwa msimu mmoja akitokea KenGold, ni pendekezo la mabosi wa Dodoma Jiji na…

Read More