Twiga Stars siyo mbaya, tujipange upya

TIMU yetu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars imeshindwa kufua dafu katika Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2024 zinazoendelea huko Morocco. Ilianza kwa kufungwa bao 1-0 na Mali kisha ikatoka sare ya bao 1-1 na Afrika Kusini na mchezo wa mwisho ikafungwa mabao 4-1 na Ghana na hivyo ikaumaliza mwendo ikiwa mkiani…

Read More

Bahati mbaya ya Inonga ni nyakati, fedha

HENOCK Inonga aliondoka nchini mwaka jana kwenda Morocco kujiunga na AS FAR huku akiwa mchezaji ambaye hakuna klabu ya Tanzania haikutamani kuwa naye. Simba ilimruhusu kishingo upande aende Morocco kwa vile alikuwa mchezaji muhimu katika kikosi chao lakini hata watani zao wa jadi Yanga bila shaka wasingeweza kuchezea fursa ya kutomsajili iwapo angeamua kujiunga nao….

Read More

Tshabalala, Yanga ni suala la muda tu

HUENDA hii isiwe taarifa njema kwa mashabiki wa klabu ya Simba, lakini inadaiwa hali ndivyo ilivyo, baada ya mabosi wa Yanga kufanya umafia wa aina yake kwa beki wa kushoto wa Msimbazi, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’. Nyota huyo mwandamizi na nahodha wa Simba alyeitumikia timu hiyo kwa zaidi ya misimu 10 tangu aliposajiliwa kutoka Kagera Sugar…

Read More

Kikao cha Fadlu, Mo Dewji Dubai kuleta mashine hizi!

MASHABIKI wa Simba bado wamepigwa na butwaa baada ya kuona sehemu ya mastaa waliosajiliwa msimu uliopita na kuiwezesha timu kufika fainali ya Kombe la Shirikisho wakipewa ‘Thank You’, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids ametoa kauli moja ya kibabe akiwatuliza mapema. Msimu uliopita Simba ilijinadi inajenga timu na kufanya maajabu ya kumaliza ya…

Read More

Camara akitoka tu, hawa wanatua

SIMBA ina hesabu kali ya kufumua eneo la kipa na unaweza kusema hakuna aliye salama, mezani kwa mabosi wa klabu hiyo kuna majina ya makipa wawili wanasubiri maamuzi tu, ili kuchukua nafasi ya Moussa Camara, iwapo wataamua kumpiga chini. ‎Camara aliyetua Simba msimu…

Read More

Senegal kuziba nafasi ya Congo Brazzaville mashindano ya CECAFA

Timu ya Taifa ya Senegal itashiriki Mashindano maalum ya CECAFA yatakayo husisha mataifa manne kabla ya mashindano ya CHAN yanayotarajiwa kuchezwa Julai 21-27, 2025 kwenye Uwanja wa Black Rhino, Karatu jijini Arusha. Senegal inachukua nafasi ya Congo Brazaville ambayo imekumbana na changamoto na kushindwa kufanya safari kama ilivyokuwa imepangwa awali. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji…

Read More