Xavi aachiwa msala JKT | Mwanaspoti

KUELEKEA msimu ujao wa mashindano ya Ligi Kuu ya Wanawake, JKT Queens inaendelea kujiimarisha na sasa inadaiwa kumsajili kocha wa timu za vijana za Simba, Mohamed Mrishona ‘Xavi’, akichukua mikoba ya Esther Chabruma ‘Lunyamila’. Licha ya kuipa ubingwa wa Ligi Kuu msimu uliopita, JKT imempa mkono wa kwaheri baada ya kumaliza mkataba na Wanajeshi hao…

Read More

Josiah awapa saluti Lazaro, Ahmad Ally

KOCHA wa Tanzania Prisons, Aman Josiah amewataja makocha waliyofanya vizuri msimu ulioisha ambao ni Ahmad Ally wa JKT Tanzania na wa Coastal Union, Joseph Lazaro, akiwaweka kando wa timu zilizomaliza Top 4 katika msimamo wa Ligi Kuu. Alitoa sababu ya kwa nini Ally ambaye timu ilimaliza nafasi ya sita ikiwa na pointi 36 na Lazaro…

Read More

Arajiga, Hamdani wateuliwa kuchezesha CHAN 2024

Zikiwa zimesalia siku 17 kabla ya kuanza kwa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN), Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limewatangaza rasmi waamuzi watakaochezesha michuano hiyo. Katika orodha hiyo yenye jumla ya majina 75, Tanzania inawakilishwa na Ahmed Arajiga wa Manyara na Ally Hamdani Saidi kutoka…

Read More

Beki Yanga atimka Simba, wakala athibitisha

WAKATI Yanga ikiwafuatilia kwa ukaribu nyota wanne walioachwa na Simba Queens, Wekundu wa Msimbazi wamemalizana na beki wa pembeni wa Wananchi hao, Asha Omary. Yanga iko kwenye mpango wa kuwasajili Precious Christopher na Wincate Kaari ambao wote wawili waliitumikia Yanga Princess msimu uliopita kabla ya kujiunga na Mnyama, pamoja na Asha Djafar na Riticia Nabbosa….

Read More

Kisa gharama, Pamba nusura iuzwe ipigwe bei

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amesema wanakabiliwa na changamoto ya gharama kubwa za uendeshaji wa timu ya Pamba Jiji jambo ambalo lilisababisha msimu ulioisha watake kuiuza baada ya kutofanya vizuri. Kibamba alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa katika mkutano na wadau wa michezo ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said…

Read More

Beki KMC apewa dili miaka mitatu Misri

ALIYEKUWA beki wa KMC, Raheem Shomari amesaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia Ghazl El-Mehalla ya Misri. Akizungumza na Mwanaspoti, beki huyo alisema tayari ameungana na timu hiyo na anaendelea na maandalizi ya msimu mpya ambao unatarajiwa kuanza wiki mbili zijazo. “Ni kweli nimemalizana na timu hiyo na tayari nipo kambini tunaendelea na maandalizi ya msimu…

Read More

Stars kutesti mitambo na Kenya, Uganda kabla ya CHAN

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajiwa kushiriki mashindano ya CECAFA yaliyoandaliwa maalum kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN). Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Ukanda wa Afrika Mashariki (CECAFA), yamepewa jina la CECAFA 4 Nations Tournament yatakayoshirikisha timu…

Read More

Stars kutesti mitambo na Kenya, Uganda

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajiwa kushiriki mashindano ya CECAFA yaliyoandaliwa maalum kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN). Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Ukanda wa Afrika Mashariki (CECAFA), yamepewa jina la CECAFA 4 Nations Tournament yatakayoshirikisha timu…

Read More